- Thread starter
- #21
Ubarikiwe, wabarikiwe wazazi wako, wabarikiwe wote wanaokutakia mema! Wewe ni mmoja wa watanzania wachache sana wanaowafikiria wengine katika kupata mema ya nchi hii. Umeeleweka MTANZANIA & MZALENDO WA KWELI KWELI, bila ya shaka MBOWE NA DR SLAA wamekuelewa bara bara! Natamani kukurushia Tshs.50,000/= ili ununue angarau machungwa kwa afya yako nitakupataje????
Asante kwa pongezi zako,zitakuwa na thamani zaidi kwangu CDM wakifanyia kazi haya madai.