CHADEMA tunasonga kidijitali, hii ni dhahiri haiwezi kufa

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Benson Kigaila leo Nov 30,2021 akiwa Jimbo la Bukoba Vijijini Mkoani Kagera akiendelea na ziara ya uhamasishaji wanachadema kujisajili na kupata kadi za kidigitali kupitia mfumo wa Chadema Digital katika Mikoa ya Kanda ya Victoria.

IMG_20211130_211611.jpg
 
Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Benson Kigaila leo Nov 30,2021 akiwa Jimbo la Bukoba Vijijini Mkoani Kagera akiendelea na ziara ya uhamasishaji wanachadema kujisajili na kupata kadi za kidigitali kupitia mfumo wa Chadema Digital katika Mikoa ya Kanda ya Victoria.

Ila hawa makamanda wengi kwenye picha kama wana usingizi Vile maana wamepiga mboji.
 
Back
Top Bottom