Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
UVCCM tuko tayari kushambulia pamoja na kujibu hoja za chadema ambazo zimepitwa na wakati. JK akiwa Rubani, 2012 ni mwaka wetu, kwani kasi ya CDM itakuwa imekwisha na wananchi kuwatambua kuwa wababaishaji.... Ma-ropes ametoka, mambo mswano. Tunaongoza Tanzania kwa miaka 200 Ijayo