JK ametutukana wapia kura anadai huo ni upepo unapita ,kitendo cha kutofautiana na waziri mkuu hilo ni tusi ,sasa alimteua wanini kama hapokei ushauri wake kama mtendaji mkuu wa serikali inakuwaje hatakikukubali kuwafuta kazi mwaziri wezi ,anamkataba kagani na hao mawaziri ,kwa maana nyingine fedha zinazoibiwa na hao mawaziri wanagawana na jk ndio maana hataki kuwafuta kazi ,chadema tunaomba mandamano ya nchi nzima ya kuupinga utawala wake aondoke kwenya jumba la wananchi IKULU.