Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,197
- 3,930
Naamini ya kuwa siku ya leo itaingia kwenye historia ya nchi hii. Hivyo basi, ni vyema Chadema mkazalisha DVD's na VCD's au pengine VHS nyingi sana za uzinduzi wa kampeni hapo Dar (Jangwani) ili ziweze kuuzwa nchi nzima kwa malengo yafuatayo:
Binafsi nitakuwa mmoja wa wanunuzi wa kubwa wa tape hizo!!!!!!! Wakati wa Ukombozi ni Sasa:clap2:
- Matangazo yenu ya moja kwa moja yanahujumiwa na TBC TV na kwahili najua watadai ni hitilafu za mitambo, na baadaye wata-edit hotuba na waturushie ili kujinafikisha.
- Mauzo ya kanda/tepu hizo yatauzwa nchi nzima ili kuwa chanzo cha mapato, tena itakuwa ni vyema mkawa mnatembea nazo wakati wa kampeni na kuziuza.
Binafsi nitakuwa mmoja wa wanunuzi wa kubwa wa tape hizo!!!!!!! Wakati wa Ukombozi ni Sasa:clap2: