Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,239
- 9,527
COMRADES!
tulipopoteza haki ya kuingia ikulu 2015 tulipoteza mengi!
Muda umepita wa kutosha kutambua kuwa kati ya mengi tuliyopoteza ni pamoja na haki ya kuwa salama, kulindwa na
kuwa huru ndani ya Tanzania. Kampeni zetu ziliwagusa wale
wa upande wa pili na uungwaji mkono wetu uliwatia hofu. Idadi ya kura tulizopata ilitosha kuwa alarm kwamba 'baada ya wao kufanya kiini macho na kuweka mtu wao ' mambo yasingetuendea tu kama vile hamna kilichotokea.
NEMO JUDEX IN CAUSA SUA
Haiwezekani serikali inayoshukiwa juu ya upoteaji wa Ben, hiyo hiyo tuiombe kufanya uchunguzi juu ya alipo Ben, labda na kuwajibisha 'wahusika '.
Nitawaambia jambo.
Mpaka leo huko USA, Rekodi rasmi ya mauaji ya J. F. Kennedy -'The Warren commission report ' imeshikilia msimamo wa ' The single bullet theory ' na kwamba Lee Harvey Oswald ndio muuaji wa rais J. F. Kennedy pamoja na kwamba sisi 'kafura mbute ' miaka karibia hamsini na nne toka J. F. K ameuawa tunafahamu ukweli. Ukweli kwamba aliyemuua J. F. K ni James Filles, silaha iliyotumika ni 'fire ball - ball action ',risasi ni mercury rounds - special load na hakuwa 'lone assassin' kama 'Warren commission ' inavyotaka kutuaminisha. Kulikuwa na second shooter, Charles "chuck" Nicoletti na mission ilipangwa na organized crime chini ya Sam Gincanna na bosi wake Tony Acardo, CIA
na FBI.
Nimetoa hiyo story hapo juu ili kila mtu atambue kwamba, 'the state or state apparatus can conspire to hurt people '.
Ndio serikali, kwa kutumia vyombo vyake au vyombo vyake peke yake bila baraka za serikali - kwa maslahi ya watu wengine, vinaweza kuwa na njama ya kumuumiza mtu au watu na kuficha ukweli kwa nguvu zote.
Juhudi zilizofanywa na mpelelezi wa kujitegemea marehemu Joe West, aliyeuawa katika ya kazi, ndizo zinaouwezesha ulimwengu kupata mwanga juu ya ukweli wa mauaji ya J. F. K
Ndugu zangu ndani ya Chadema, tuchukue hatua sisi wenyewe kujua ukweli juu ya alipo Ben Saanane na tuchukue
hatua 'ZAIDI ' juu ya wanaohusika na kupotea huko kwa Ben Saanane. Hii itatupa moyo wote tunaokipigania chama. Tutapigana tukijua kuna mtu anayetulinda.
THIS IS NOT TIME TO THINK, ITS TIME TO REACT.
CHADEMA itambue sasa ukweli mchungu kuwa historia huandikwa na washindi. Unaposhindwa unakosa haki ya kuandika historia yako. 2020 Mungu akitupa ushindi tusimuangushe kwa visingizio vya bei rahisi.
Aluta continua
Victoria ascerta
The struggle continues
Victory is certain
tulipopoteza haki ya kuingia ikulu 2015 tulipoteza mengi!
Muda umepita wa kutosha kutambua kuwa kati ya mengi tuliyopoteza ni pamoja na haki ya kuwa salama, kulindwa na
kuwa huru ndani ya Tanzania. Kampeni zetu ziliwagusa wale
wa upande wa pili na uungwaji mkono wetu uliwatia hofu. Idadi ya kura tulizopata ilitosha kuwa alarm kwamba 'baada ya wao kufanya kiini macho na kuweka mtu wao ' mambo yasingetuendea tu kama vile hamna kilichotokea.
NEMO JUDEX IN CAUSA SUA
Haiwezekani serikali inayoshukiwa juu ya upoteaji wa Ben, hiyo hiyo tuiombe kufanya uchunguzi juu ya alipo Ben, labda na kuwajibisha 'wahusika '.
Nitawaambia jambo.
Mpaka leo huko USA, Rekodi rasmi ya mauaji ya J. F. Kennedy -'The Warren commission report ' imeshikilia msimamo wa ' The single bullet theory ' na kwamba Lee Harvey Oswald ndio muuaji wa rais J. F. Kennedy pamoja na kwamba sisi 'kafura mbute ' miaka karibia hamsini na nne toka J. F. K ameuawa tunafahamu ukweli. Ukweli kwamba aliyemuua J. F. K ni James Filles, silaha iliyotumika ni 'fire ball - ball action ',risasi ni mercury rounds - special load na hakuwa 'lone assassin' kama 'Warren commission ' inavyotaka kutuaminisha. Kulikuwa na second shooter, Charles "chuck" Nicoletti na mission ilipangwa na organized crime chini ya Sam Gincanna na bosi wake Tony Acardo, CIA
na FBI.
Nimetoa hiyo story hapo juu ili kila mtu atambue kwamba, 'the state or state apparatus can conspire to hurt people '.
Ndio serikali, kwa kutumia vyombo vyake au vyombo vyake peke yake bila baraka za serikali - kwa maslahi ya watu wengine, vinaweza kuwa na njama ya kumuumiza mtu au watu na kuficha ukweli kwa nguvu zote.
Juhudi zilizofanywa na mpelelezi wa kujitegemea marehemu Joe West, aliyeuawa katika ya kazi, ndizo zinaouwezesha ulimwengu kupata mwanga juu ya ukweli wa mauaji ya J. F. K
Ndugu zangu ndani ya Chadema, tuchukue hatua sisi wenyewe kujua ukweli juu ya alipo Ben Saanane na tuchukue
hatua 'ZAIDI ' juu ya wanaohusika na kupotea huko kwa Ben Saanane. Hii itatupa moyo wote tunaokipigania chama. Tutapigana tukijua kuna mtu anayetulinda.
THIS IS NOT TIME TO THINK, ITS TIME TO REACT.
CHADEMA itambue sasa ukweli mchungu kuwa historia huandikwa na washindi. Unaposhindwa unakosa haki ya kuandika historia yako. 2020 Mungu akitupa ushindi tusimuangushe kwa visingizio vya bei rahisi.
Aluta continua
Victoria ascerta
The struggle continues
Victory is certain