Mimi sikubaliani na msemo wako wa time to react; ku react hakuleti picha nzuri sana bali ku act. Ikiwezekana kwa kuomba hata msaada wa fbi, cia au hata kgb. Haiwezekani mtu huyo huyo ashutumiwe halafu apewe jukumu la kujichunguza. Ripoti itakayotoka itakuwa imepikwa tu. Bahati mbaya haijawahi kutokea mtu aliyokoka akawa kiongozi wetu maana yeye anayohofu ya Mungu