Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Tumekuwa na mihemko na hasira muda mrefu na vitu vilivyokuwa vikitokea kwenye chama chetu, sasa naona ni muda muafaka kumsamehe huyu bwana na tusonge mbele. Shibuda huwa tunakuwa tumemsamehe kabla hata hajasema wala hajafanya kitu, mimi kwa mapendekezo yangu hata Zitto asamehewe hata kabla hajawaza wala kusema kitu!
Tumsamehe tuu pamoja na kuwa sidhani kama Zitto mwenyewe atakuwa tayari kuomba msamaha, Tumsamehe na tujenge chama kwa upya kwa spidi isiyo ya kawaida.
Tumsamehe tuu pamoja na kuwa sidhani kama Zitto mwenyewe atakuwa tayari kuomba msamaha, Tumsamehe na tujenge chama kwa upya kwa spidi isiyo ya kawaida.