Mbundumale
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 150
- 42
- Thread starter
- #41
Utapewa Uenyekiti kwa dini yako tu, sio CDM katafuteni chama jinga huko huko kwenu, UENYEKITI WA CDM NI KWA SIFA NA VIGEZO SIO DINI HATA MKIPIGA KELELE VIPI., kwani zamu za Udini za UENYEKTI wa CCM zimesaidia matatizo ya UCHUMI Tanzania???, CDM ni chama cha UCHUMI Maaendeleo in summary, hakina agenda ya dini ya mtu. Lije jua ije mvua dini yako baki nayo.
KAMANDA ,mimi si gamba na inashangaza kila mwenye mawazo ya kukishauri Chama anaitwa ni ccm.
Binafsi sitarajii kuwa mwanaccm katika maisha yangu yote ni bora niachane na siasa ya vyama vya siasa.
Ni kweli CHADEMA haiwezi kuendeshwa na propaganda za ccm lakini propaganda hizo zina impact kwa wananchi ambao ni wepesi ama si wakomavu kisiasa hasa wale wa vijijini.
Nashauri na kuwaomba wachangiaji tujikite kuwajadili watu hao kama wana faa ama laa.
Ni mawazo yangu tu Jamani.