Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,323
Tangu enzi za Mababu inasemekana Wachagga wametumia "Isale" au (Dracaena afromontana) katika kuleta suluhu na kusameheana (forgiveness) katika jamii yao.
Mmea huu unatumiwa sana katika maofisi duniani kama mapambo (ornamental).
Mmea huu una nguvu za Kimungu (Goddess/ritual powers) kwani anayekataa suluhu hufikwa na mabalaa/ mikosi.
Je, jamii nyingine tunatumia njia gani za kimila kusuluhishana?.
Kwanini mbinu hizi zisitumike kuleta muafaka (reconciliation) na mapenzi mema katika Taifa letu linalofarakana?.
Mmea huu unatumiwa sana katika maofisi duniani kama mapambo (ornamental).
Mmea huu una nguvu za Kimungu (Goddess/ritual powers) kwani anayekataa suluhu hufikwa na mabalaa/ mikosi.
Je, jamii nyingine tunatumia njia gani za kimila kusuluhishana?.
Kwanini mbinu hizi zisitumike kuleta muafaka (reconciliation) na mapenzi mema katika Taifa letu linalofarakana?.