Katika uchaguzi wa 2010 waliojitokeza kupiga kura ni kama 1/3 ya wote wenye haki ya kupiga kura.
Utafiti wangu usio rasmi unasema kwamba watu wengi wameichoka CCM ila waliamini hata wakipigia kura chama chenye nia ya dhati na uwezo wa kulikomboa taifa kutoka mikononi mwa mafisadi CCM will never give up power kwa hiyo hawakuona thamani ya kupiga kura.
Je, Chadema tumejiandaa vipi kuhakikisha kwamba dhana hii inafutwa ili wananchi wakabomboe taifa lao kupitia Chadema ? What is Chadema doing to protect ushindi wetu in 2015?
Utafiti wangu usio rasmi unasema kwamba watu wengi wameichoka CCM ila waliamini hata wakipigia kura chama chenye nia ya dhati na uwezo wa kulikomboa taifa kutoka mikononi mwa mafisadi CCM will never give up power kwa hiyo hawakuona thamani ya kupiga kura.
Je, Chadema tumejiandaa vipi kuhakikisha kwamba dhana hii inafutwa ili wananchi wakabomboe taifa lao kupitia Chadema ? What is Chadema doing to protect ushindi wetu in 2015?