CHADEMA: Tumefanya uchambuzi wa ripoti zote CAG na kugundua awamu ya 5 kuna upotevu wa fedha nyingi kuliko awamu zote tangu ile awamu ya kwanza

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,597
141,400
Ndio naelekea mtaa wa Ufipa yalipo makao makuu ya Chadema.

Nitawajuza yatakayojiri!

Maendeleo hayana vyama!

Up dates;

Mkutano umeongozwa na kiongozi wa chama na mgombea ubunge wa Dodoma mjini kamanda Kilagila Kwa ufupi tu amezungumzua hasara inayozalishwa na ATCL na kuhoji kwanini ndege hizo tunaziservice kwa fedha zetu kwani hazina guarantee.
Amesema wao Chadema gari yap mpya Nissan Patrol ina guarantee ya miaka 3 au km 100,000

Pia amehoji ubadhirifu uliofanyika Nssf.

Kadhalika Kilagila amesema Chadema wamepata Hati yenye mashaka japokuwa CCM ambao ndio wana makosa mengi kuliko wao wana Hati safi.

Chadema ina mapungufu matatu tu ya kiukaguzi amesisitiza Kilagila.

Tumefanyia uchambuzi ripoti zote za CAG, toka awamu ya kwanza hadi awamu hii ya tano tumegundua awamu hii ya 5 kuna upotevu wa pesa nyingi kuliko awamu zote 4 zilizopita yani kuanzia Nyerere, Mwinyi na Kikwete.
 
Wakemee ufisadi hatutaki kusikia wakijitetea kila mtu awajibike kivyake chadema wawajibike na serikali iwajibike.
 
CDF anaongea muda huu,baada ya Dr Tulia kuongea.
CDF Mabeyo: Anawatambua viongozi kwa itifaki. Anamshukuru Mungu,anamkaribisha Mh Rais!! JWTZ ndo wamejenga nyumba za serikali : Ikulu na ukuta wake,, nyumba 41 za wafanyakazi wa ikulu,nyumba eneo la Mtumba,nk. JWTZ wameokoa zaidi ya sh bln 2.
 
CDF anaongea muda huu,baada ya Dr Tulia kuongea.
CDF Mabeyo: Anawatambua viongozi kwa itifaki. Anamshukuru Mungu,anamkaribisha Mh Rais!! JWTZ ndo wamejenga nyumba za serikali : Ikulu na ukuta wake,, nyumba 41 za wafanyakazi wa ikulu,nyumba eneo la Mtumba,nk. JWTZ wameokoa zaidi ya sh bln 2.
Akija CAG utasikia mapya kabisa ya ufisadi kuanzia ukuta wa mererani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio naelekea mtaa wa Ufipa yalipo makao makuu ya Chadema.

Nitawajuza yatakayojiri!

Maendeleo hayana vyama!



Ni kweli kwamba maendeleo hayana chama, Chama cha SiSiEm kimekuwapo madarakani tangu 1977, na wala hakijaleta maendeleo yoyote hapa nchini. Na hata kikiingia chama chochote hali itakuwa hiyohiyo kwa sababu ni watu walewale waliovaa kanzu tofauti. Padri ni yuleyule aliyevaa joho jipya au Sheikh ni yuleyule aliyevaa kanzu mpya.
 
Back
Top Bottom