mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,753
- 7,075
Wana JF
Kilichofanya vyama vya upinzani kupigwa chini, ni matokeo mabaya ya uongozi wa Mbowe na kundi lake tiifu. Ndani ya chama chao ilianza fukuzana fukuzana. Ikaja susia susia watu walioona mbali wakaanza kujiondoa kwa kuunga juhudi upande wa pili. Hayo pia yaliyokea CUF ya Lipumba. Uovu kwa wapenda madaraka ya kudumu ndio chanzo cha kukataliwa. Kiongozi ukiishiwa mbinu unatakiwa kujipiga chini hata kama unajiona una akili Sana kuzidi unaowahisi.
CHADEMA jifunze demecrasia ianzie kwenu ndipo wengine wafuatie.
CHADEMA uliwanyima wananchi demekrasia kwa kumleta Lowasa na Sumaye mafisadi wakubwa waliokuwa wanatukanwa usiku kucha. Vijana wenye ali walikata tamaa kwa kuondoa mwanasiasa mkali wa mbinu Dr. Alaa. Hata kama Dr. Slaa angeshindwa tena lakini tungeendelea kujipanga kuanzia ngazi za chini mpaka za juu.
CHADEMA msingeweza kushinda uchaguzi wakati mlisusa serikali za mitaa. Kwenye mitaa ndio kuna wapiganaji wadogo wadogo wanaoounda kata kuja mpaka wilaya. Hawa wangeweza kueneza siasa za chini kufikia juu. Vijana baada ya kuondokewa na ali ya kukombolewa wamebaki kusubiri kuwekewa mafuta ya elf ishirini kwenye bodaboda angalau wapate pa kuanzia kuliko kupiga kelele bure wakati hawapati kitu.
Kilichofanya vyama vya upinzani kupigwa chini, ni matokeo mabaya ya uongozi wa Mbowe na kundi lake tiifu. Ndani ya chama chao ilianza fukuzana fukuzana. Ikaja susia susia watu walioona mbali wakaanza kujiondoa kwa kuunga juhudi upande wa pili. Hayo pia yaliyokea CUF ya Lipumba. Uovu kwa wapenda madaraka ya kudumu ndio chanzo cha kukataliwa. Kiongozi ukiishiwa mbinu unatakiwa kujipiga chini hata kama unajiona una akili Sana kuzidi unaowahisi.
CHADEMA jifunze demecrasia ianzie kwenu ndipo wengine wafuatie.
CHADEMA uliwanyima wananchi demekrasia kwa kumleta Lowasa na Sumaye mafisadi wakubwa waliokuwa wanatukanwa usiku kucha. Vijana wenye ali walikata tamaa kwa kuondoa mwanasiasa mkali wa mbinu Dr. Alaa. Hata kama Dr. Slaa angeshindwa tena lakini tungeendelea kujipanga kuanzia ngazi za chini mpaka za juu.
CHADEMA msingeweza kushinda uchaguzi wakati mlisusa serikali za mitaa. Kwenye mitaa ndio kuna wapiganaji wadogo wadogo wanaoounda kata kuja mpaka wilaya. Hawa wangeweza kueneza siasa za chini kufikia juu. Vijana baada ya kuondokewa na ali ya kukombolewa wamebaki kusubiri kuwekewa mafuta ya elf ishirini kwenye bodaboda angalau wapate pa kuanzia kuliko kupiga kelele bure wakati hawapati kitu.