CHADEMA: Tuko tayari kukutana na Rais Samia kwa ajili ya maridhiano

Hata JPM hawa watu walumtibua, cdm walisema serikal ya JK haina ndege, haifai,, JPM kaingia kanunua ndege,
Wakasema JK kamfunga babu seya kwa kubambika,, JPM kaingia akamtoa bob seya gerezani,
Chadema wakasema, PAP na Ruge wamechukua hela ya umma kwenye masalfeti,,, bila hata ushahidi, wakalalamuka JK anafuga mafisadi,,, JPM kaingia kafungua mahakama ya mafisadi,, kawaweka ndani singa na Ruge japo hakuna mahakama hapa duniani ingepata kifungu cha kisheria kuwafunga, wakasota mahabusu hadi wakakongoroka,
Matajiri, wahujumu uchumi wakatapishwa fedha,,
Chadema wakamgeuka JPM,, wakaanza kusema hajui englishi, eti PHD yake haikidhi,, Jpm akaona kumbe hawa hawana shukrani,, akagoma kukutana nao, akawabania kwelikweli na akawambia katiba mpya si kipaumbele chake,,
In short chadema hawana think tank na wanadiplomasia
Kama watu Mwenyekiti wao ni Form six tu na anawatawala kibabe tangu 2003 basi ujuwe wanachama wake ni mazombie.

Wenye akili walikihama Chama hiki kama Zitto Kabwe na Silinde
 
Rais hawezi kuongea na mqgaidi
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA ( bara) amesema chama chake kiko tayari kukutana na Rais Samia ili kupata maridhiano ya kitaifa.

Lakini hatuko tayari kukutana na msajili wa vyama vya siasa hadi pale tutakaporuhusiwa kufanya mikutano iliyozuiliwa kinyume cha katiba ya JMT, amesema.

Chanzo: Star tv
 
Namshauri Rais SSH awapotezee tu kwa kuwa mlimdharau sana na mkasahau kuwa Rais ni Taasisi. Wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.

Duniani tunaishi kwa win- win situation. Kama Samia amefuta kesi za kubambikiza, Mahakama zimeanza kutenda haki, akaunti za Mbowe zimefunguliwa, uhuru wa maoni umeruhisiwa na hatua za kudhibiti COVID-19 zimeanza kuchukuliwa, hiyo ni WIN kwa CDM. Nilitegemea naye Rais SSH WIN yake iwe kusikilizwa aliposema nataka nijenge uchumi kwanza.

On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA??

Mpaka unajiuliza nini kimewapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia.

Shenz taipu Bladifakeni CDM na Mbowe
Div.0 score in action
 
Namshauri Rais SSH awapotezee tu kwa kuwa mlimdharau sana na mkasahau kuwa Rais ni Taasisi. Wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.

Duniani tunaishi kwa win- win situation. Kama Samia amefuta kesi za kubambikiza, Mahakama zimeanza kutenda haki, akaunti za Mbowe zimefunguliwa, uhuru wa maoni umeruhisiwa na hatua za kudhibiti COVID-19 zimeanza kuchukuliwa, hiyo ni WIN kwa CDM. Nilitegemea naye Rais SSH WIN yake iwe kusikilizwa aliposema nataka nijenge uchumi kwanza.

On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA??

Mpaka unajiuliza nini kimewapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia.

Shenz taipu Bladifakeni CDM na Mbowe
No one could say it better.

YOU FVCKING NAILED IT JO!

I say it again, YOU FVCKNG NAILED IT.

CDM wajifunze maana ya siasa. Walitukera sana Watanzania na tutashikilia hapa hapa mpaka wamuombe radhi Mama hadharani.

Pumbav sana hawa watu
 
Kama watu Mwenyekiti wao ni Form six tu na anawatawala kibabe tangu 2003 basi ujuwe wanachama wake ni mazombie.

Wenye akili walikihama Chama hiki kama Zitto Kabwe na Silinde
Silinde ameku impress kwa kipi mpaka umtoe kama mfano wa watu wenye akili kubwa? Zitto inaeleweka, lakini Silinde?

Amandla..
 
Mtu anayetaka Katiba Mpya kwanza aonyeshe mfano kwenye Chama chake. Yeye kuanzia mwaka 2003 ndiye Mwenyekiti wa Chadema wakati CCM kwa kipindi hicjho imepata Wenyeviti 4. Katiba siyo takwa la CHDEMA bali ni takwa la wananchi. Ni lini tulimtuma Mbowe atudaie Katiba Mpya? Tunakwenda na Rais SSH, uchumi kwanza katiba isubiri
Wewe kama hujamtuma,tupo ambao tunamuunga mkono kwenye hayo madai ya katiba mpya!Awamu iliyopita imetuonesha wazi jinsi gani katiba mpya inavyohitajika!Kwahiyo wewe pia huna mamlaka ya kuwasemea wananchi wengine juu ya katiba mpya!
Mapungufu kwenye katiba ya CDM sio kigezo cha kutokudai katiba mpya!Kwanini katiba inayodaiwa ni kwa ajili ya nchi!
Nyerere alikuwa mwenyekiti Wa TANU na baadaye CCM kwa miaka mingapi?Lakini yeye pia aliona umuhimu Wa katiba mpya!Inaonekana shida yako si madai ya katiba mpya ila anayedai ni nani!
Mtu anayetaka Katiba Mpya kwanza aonyeshe mfano kwenye Chama chake. Yeye kuanzia mwaka 2003 ndiye Mwenyekiti wa Chadema wakati CCM kwa kipindi hicjho imepata Wenyeviti 4. Katiba siyo takwa la CHDEMA bali ni takwa la wananchi. Ni lini tulimtuma Mbowe atudaie Katiba Mpya? Tunakwenda na Rais SSH, uchumi kwanza katiba isubiri
 
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA ( bara) amesema chama chake kiko tayari kukutana na Rais Samia ili kupata maridhiano ya kitaifa.

Lakini hatuko tayari kukutana na msajili wa vyama vya siasa hadi pale tutakaporuhusiwa kufanya mikutano iliyozuiliwa kinyume cha katiba ya JMT, amesema.

Chanzo: Star tv
Duh...!, sijui Chadema, inawapataga wapi watu wa sampuli hizi kuwa viongozi wake!, halafu hawa ndio wanawataka Watanzania wawaaminie wawakabidhi Ikulu!. Kwani aliyezuia mikutano ya hadhara ni Msajili?. Aliyezuia mikutano wanamjua, Mama kampokea na kuendelea kuzuia, msajili kosa lake ni nini au ni lipi?.

Rais Samia sio rais wa Chadema, ni rais wa Tanzania, hivyo kitendo cha Chadema kuomba kuonana na rais, ni begging, na siku zote beggars can not be choosers, huwezi ku beg huku unatoa masharti.

Nimejipanga na mimi kufungua darasa langu la civic education kama Pole Pole, ili kusaidia kuelimisha vilaza kama hawa!.
P
 
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA ( bara) amesema chama chake kiko tayari kukutana na Rais Samia ili kupata maridhiano ya kitaifa.

Lakini hatuko tayari kukutana na msajili wa vyama vya siasa hadi pale tutakaporuhusiwa kufanya mikutano iliyozuiliwa kinyume cha katiba ya JMT, amesema.

Chanzo: Star tv
Wanahangaika sana hawa chakademus and pliers

Die alikua hawataki kila kitu?

Tena Mbowe arrogantly, pamoja na Lissu walikua wanataka wao ndio watafutwe?

Chandimu needs to find consistency
 
Wewe kama hujamtuma,tupo ambao tunamuunga mkono kwenye hayo madai ya katiba mpya!Awamu iliyopita imetuonesha wazi jinsi gani katiba mpya inavyohitajika!Kwahiyo wewe pia huna mamlaka ya kuwasemea wananchi wengine juu ya katiba mpya!
Mapungufu kwenye katiba ya CDM sio kigezo cha kutokudai katiba mpya!Kwanini katiba inayodaiwa ni kwa ajili ya nchi!
Nyerere alikuwa mwenyekiti Wa TANU na baadaye CCM kwa miaka mingapi?Lakini yeye pia aliona umuhimu Wa katiba mpya!Inaonekana shida yako si madai ya katiba mpya ila anayedai ni nani!
Naunga mkono hoja ya Chadema....watu wanajitoa ufahamu sheria ya vyama vingi iko wazi...civics tumesoma o level...nini maana ya vyama vingi na uhuru wake
 
Duh...!, sijui Chadema, inawapataga wapi watu wa sampuli hizi kuwa viongozi wake!, halafu hawa ndio wanawataka Watanzania wawaaminie wawakabidhi Ikulu!. Kwani aliyezuia mikutano ya hadhara ni Msajili?. Aliyezuia mikutano wanamjua, Mama kampokea na kuendelea kuzuia, msajili kosa lake ni nini au ni lipi?.

Rais Samia sio rais wa Chadema, ni rais wa Tanzania, hivyo kitendo cha Chadema kuomba kuonana na rais, ni begging, na siku zote beggars can not be choosers, huwezi ku beg huku unatoa masharti.

Nimejipanga na mimi kufungua darasa langu la civic education kama Pole Pole, ili kusaidia kuelimisha vilaza kama hawa!.
P
Tunasubiri darasa lako bwashee Pascal!
 
Back
Top Bottom