Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
WEKENI Vyeti .....acha Blah blah .......Mbowe ashukuru na wafuasi viazi na aombe sana aendelee kuwa mwenyekiti maana siku akirogwa tu akauacha atakoma na madudu yanayomzunguka
WEKENI Vyeti .....acha Blah blah .......Mbowe ashukuru na wafuasi viazi na aombe sana aendelee kuwa mwenyekiti maana siku akirogwa tu akauacha atakoma na madudu yanayomzunguka
Huo upuuzi kawapelekea Loumoumber. Watu wenye akili zao wanajua kinachoendelea. Kwa mtaji huo haupo tofauti sana na PhD holders wa Leo kama Prof Bwana yuleMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameanzisha mapambano dhidi ya madawa ya kulevya. Kwa vile Mwenyekiti wetu ni mmoja wa watuhumiwa, tumeshirikiana na akina Mange Kimambi na Josephat Gwajima kumzushia kashfa ya kutumia jina lisilo lake na vyeti kujiendeleza kitaaluma. Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha madai hayo na sisi tuliozua kashfa hiyo tunamlazimisha Makonda awasilishe vyeti ilhali tulisema tunavyo.
Wakili Godfrey Songa baada ya kufungua kesi Mahakamani ili uchaguzi wa TLS usimamishwe hadi hapo kanuni za kuendesha uchaguzi wa chombo hicho zitakapotungwa na Bunge tumetumia mbinu ile ile ya Makonda. Copy and Paste. Eti Wasonga majina yake ni Elia William na baba yake ni Mjaluo Raia wa Kenya! Ridiculous.
Wasiwasi wangu, je hii mbinu tunayotumia itatusaidia vipi kutuvusha salama 2020? Mahasimu wetu CCM wamejipanga kweli. Tena si mchezo. Wanafanyia Service chombo chao kwa kumwaga Oil Chafu na kuweka mpya. Cha ajabu sisi tunachukua Oil iliyomwagwa na CCM tunaweka kwenye engine yetu eti tutegemee tuwe na ushindani sawa. Kukosa akili. Mbaya zaidi tunamtumia dereva yule yule aliyeshindwa kukimbia hata mita 100 apambane na mtu aliyezunguka nchi nzima kwa gari. Kichekesho
Unazungumzia Zero ya Bashite wa CCM?Eti watu wenye akili zao!!
Akili zipi
Akili zakuongozwa na ZERO!!
Hahaha PhD holdersEti watu wenye akili zao!!
Akili zipi
Akili zakuongozwa na ZERO!!
Kuna binadamu alisema anavyeti vya Makonda sasa mpaka Sasa hajaonyeshasi bora hata mbuzi utakula nyama na supu na ngozi yake utatengeneza kiatu... sasa nyinyi na bashite wenu mtambulia nini zaidi ya fa fa fa fa...
Ina maana anavyo vyeti halali vya kwake? Mimi nataka wote waumbuane. Yaani natamani waruhusu mgombea binafsi kwenye katiba na sisi tusio na vyama tutumikie wananchi. Watu wanaishi kwa kuvunja sheria, inawezekanaje? Ningevunja Mimi na kwa vile sina alleged authority ya kutaja watu wa madawa ya kulevya basi ningeadhibiwa vilivyo.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameanzisha mapambano dhidi ya madawa ya kulevya. Kwa vile Mwenyekiti wetu ni mmoja wa watuhumiwa, tumeshirikiana na akina Mange Kimambi na Josephat Gwajima kumzushia kashfa ya kutumia jina lisilo lake na vyeti kujiendeleza kitaaluma. Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha madai hayo na sisi tuliozua kashfa hiyo tunamlazimisha Makonda awasilishe vyeti ilhali tulisema tunavyo.
Wakili Godfrey Songa baada ya kufungua kesi Mahakamani ili uchaguzi wa TLS usimamishwe hadi hapo kanuni za kuendesha uchaguzi wa chombo hicho zitakapotungwa na Bunge tumetumia mbinu ile ile ya Makonda. Copy and Paste. Eti Wasonga majina yake ni Elia William na baba yake ni Mjaluo Raia wa Kenya! Ridiculous.
Wasiwasi wangu, je hii mbinu tunayotumia itatusaidia vipi kutuvusha salama 2020? Mahasimu wetu CCM wamejipanga kweli. Tena si mchezo. Wanafanyia Service chombo chao kwa kumwaga Oil Chafu na kuweka mpya. Cha ajabu sisi tunachukua Oil iliyomwagwa na CCM tunaweka kwenye engine yetu eti tutegemee tuwe na ushindani sawa. Kukosa akili. Mbaya zaidi tunamtumia dereva yule yule aliyeshindwa kukimbia hata mita 100 apambane na mtu aliyezunguka nchi nzima kwa gari. Kichekesho
Kwani hiyo ni ajenda ya CHADEMA? Emb acha kujifanya mwanachadema wakati ID zako za awali tunazifahamu.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameanzisha mapambano dhidi ya madawa ya kulevya. Kwa vile Mwenyekiti wetu ni mmoja wa watuhumiwa, tumeshirikiana na akina Mange Kimambi na Josephat Gwajima kumzushia kashfa ya kutumia jina lisilo lake na vyeti kujiendeleza kitaaluma. Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha madai hayo na sisi tuliozua kashfa hiyo tunamlazimisha Makonda awasilishe vyeti ilhali tulisema tunavyo.
Wakili Godfrey Songa baada ya kufungua kesi Mahakamani ili uchaguzi wa TLS usimamishwe hadi hapo kanuni za kuendesha uchaguzi wa chombo hicho zitakapotungwa na Bunge tumetumia mbinu ile ile ya Makonda. Copy and Paste. Eti Wasonga majina yake ni Elia William na baba yake ni Mjaluo Raia wa Kenya! Ridiculous.
Wasiwasi wangu, je hii mbinu tunayotumia itatusaidia vipi kutuvusha salama 2020? Mahasimu wetu CCM wamejipanga kweli. Tena si mchezo. Wanafanyia Service chombo chao kwa kumwaga Oil Chafu na kuweka mpya. Cha ajabu sisi tunachukua Oil iliyomwagwa na CCM tunaweka kwenye engine yetu eti tutegemee tuwe na ushindani sawa. Kukosa akili. Mbaya zaidi tunamtumia dereva yule yule aliyeshindwa kukimbia hata mita 100 apambane na mtu aliyezunguka nchi nzima kwa gari. Kichekesho
Aione MboweWewe Kada wa CCM mwambieni Bashite kinachotakiwa ni cheti tu, hizi blah blah peleka Lumumba.