Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Bhangi ya Malawi mbaya sana, inawaharibu sana vijana wa Lumumba, hii posti umeleta baada ya kuvuta.
huyo aliyefunga mjadala alitaka kuwa rais wa nchi.
You can imagine nchi ingeendeshwa vipi iwapo ingetokea bahati mbaya akapitishwa.
Mungu aliwaongoza vyema watanzania wasichague muovu kuwa rais.
Mjadala juu ya Zitto na kundi lake umeshafungwa, mnachokiita waraka/ripoti ni FEKI,
Mashitaka halisi ni 11 tu, na leo wamebakiwa na siku 8 tu za kujibu,
Mwambieni Zitto awaambie mashitaka aliyokabidhiwa kwa barua, lakini sharti awaambie baada ya kujibu tuhuma hizo kwa cc ya chadema na si vinginevyo.
Maji ya kimwagika hayazoleki hata uwe kama Hung Lee bingwa wa kukausha maji ulimi bila kuyameza wala kuyamwaga tena,
Hii ni sauti ya Tumaini Makene.naleo umepewa ruhusa ya kujibu? Hivi tumani yuko likizo au amefutwa kazi?
Naomba kujua kama mkopo wa dr slaa kama ulirudishwa na riba.
Ni lini ofisi za chama hasa makao makuu zitajengwa?
Hivi chadema kama ina ruhusu mwanachama wake kumrushia matofali mwanachama mwingine itakwepaje kashifa za kumwagia watu tindikali?
hivi kwanini chadema mnataka kutonywa hili kukaguliwa?
Hile report report ya siri ambayo ilikuwa ina mhusu zitto ilikanwa na chadema lakini jana kamanda wa lema bw Mungi alisema hile report ni ya kweli na chadema wameikana kwa mkakati mahususi ni kweli.
Cc CHAMVIGA Ritz THE BIG SHOW sixgates.
Ndugu zangu huo waraka ni wa kupikwa jiulizeni kwanini watu hawa walipanga uhaini kwa kuandika waraka badala ya kujadiliana bila kuandika chochote, kwanini Mwigamba kakiri haraka haraka kuhusu waraka, kwanini aliyekutwa na waraka ni Mwigamba na siyo Zitto Kabwe au Kitila Mkumbo, aliye pora laptop ya Mwigamba na kukuta waraka alijuaje kuwa ndani ya laptop hiyo kuna waraka hadi kufikiri kuipora na kwanini baada ya kupora laptop ikarudishwa
unapaswa kujua chama ni taasisi hivyo kila taaisi ina katiba yake na katiba ndiyo ina sheria ya kuiongoza chama hivyo kila anayekiuka lazima sheria zifuatwe bila kujali ni nani na yeyote anayekiuka katiba kwa makusuti ni msaliti taasisi aiwezi kuendeshwa kwa mawazo ya mtu bali ni katiba, kanuni, miongozo na miiko na siyo akili ya mtu
Mjadala juu ya Zitto na kundi lake umeshafungwa, mnachokiita waraka/ripoti ni FEKI,
Mashitaka halisi ni 11 tu, na leo wamebakiwa na siku 8 tu za kujibu,
Mwambieni Zitto awaambie mashitaka aliyokabidhiwa kwa barua, lakini sharti awaambie baada ya kujibu tuhuma hizo kwa cc ya chadema na si vinginevyo.
Maji ya kimwagika hayazoleki hata uwe kama Hung Lee bingwa wa kukausha maji ulimi bila kuyameza wala kuyamwaga tena,
Hii ni sauti ya Tumaini Makene.naleo umepewa ruhusa ya kujibu? Hivi tumani yuko likizo au amefutwa kazi?
Naomba kujua kama mkopo wa dr slaa kama ulirudishwa na riba.
Ni lini ofisi za chama hasa makao makuu zitajengwa?
Hivi chadema kama ina ruhusu mwanachama wake kumrushia matofali mwanachama mwingine itakwepaje kashifa za kumwagia watu tindikali?
hivi kwanini chadema mnataka kutonywa hili kukaguliwa?
Hile report report ya siri ambayo ilikuwa ina mhusu zitto ilikanwa na chadema lakini jana kamanda wa lema bw Mungi alisema hile report ni ya kweli na chadema wameikana kwa mkakati mahususi ni kweli.
Cc CHAMVIGA Ritz THE BIG SHOW sixgates.