Black fire
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 755
- 1,309
Ficha ujinga wako. Magufuli hana madaktari. Madaktari hao wanalipwa kwa kodi zetu.
Mh!!Dr Ulimboka alipotekwa akateswa nusu kufa alitupwa porini pembeni mwa barabara akiwa hajiwezi.
Kuna wasamalia wakamuona akiwa hoi huko porini na kuwataarifu akina Kijo Bisimba, Waliomfuata wakamuokota wakamuhifadhi vizuri wakampeleka Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya Tiba.
Kwa vyovyote vile, wale waliomuokota na kumhifadhi na kisha mumpeleka Muhimbili ni watu muhimu sana na wenye mchango mkubwa sana katika process nzima iliyookoa UHAI wa Dr Ulimboka.
Itakuwa ajabu sana ikiwa Dr Ulimboka anaweza kutoa shukrani kwa Muhimbili na madaktari waliomtibu kuwa eti ndio pekee wanaostahili kuchukua credit ya kuokoa maisha yake na kuwasahau watu Muhimu kama akina Kijo Bisimba na wasamalia wema waliomuokota na kumhifadhina kisha kumsafirisha kwa hao wanaoonekana ndio "WAPONYAJI"
Swala la Mh Tundu Lissu halina tofauti kubwa na la Dr Ulimboka.
Lissu alipigwa risasi kadhaa, akawa hoi bin taabani, alibleed sana na kwa kweli isingekuwa juhudi za madaktari wa Dodoma General Hospital wakiongozwa na Bingwa Dr Ulisubisya Mpoki ambaye ndiye Katibu Mkuu wa wizara ya AFYA, CHADEMA tungelipeleka maiti NAIROBI.
Tundu Lissu tusingelikuwa naye akitupa kiki za kisiasa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari leo hii.
Kitaaluma inapotokea hali yoyote inayotishia kutoweka kwa UHAI jambo la msingi na muhimu ni kuoffer emmegency care inayomuondolea mgonjwa hatari ya kutoweka UHAI wake.
Hili lilifanywa vema na serikali ya Dr John Pombe Magufuli.
Hapo ndipo UTAALAMU wa hali ya JUU kabisa kama wa akina Dr Ulisubisya Mpoki (Katibu Mkuu - Wizara ya Afya) unapohitajika na ndipo hasa palipo na kiini cha mgonjwa kupona au kupoteza UHAI wake.
Namaanisha Tiba iliyotolewa na serikali hii ya Dr John Pombe Magufuli ndiyo iliyodetermine Outcome inayotupa kiki mtaani leo.
CHADEMA tuache UNAFIKI. Ndani ya CHADEMA kuna Madaktari akiwemo Katibu mkuu wa chama chetu.
Tumwambie Mwenyekiti wetu, tuwaambie akina Lema na akina Msigwa Uhalisia wa nani hasa aliyeokoa UHAI wa Mh Tundu LISSU.
Je Ni Madakatari wa NAIROBI au ni MADAKATARI wa serikali ya Mh MAGUFULI?
Katika Taaluma huwa kuna msemo kuwa anayemuona mgonjwa kwa mara ya kwanza ndiye determinant kwa asilimia kubwa ya outcome ya tiba.
Nasubiri neno la shukrani la MhTundu Lissu mwenyewe kama naye ataishia kuwashukuru akina Mange Kimambi, Wema na madaktari wa NAIROBI, au ataikumbuka na serikali ya Magufuli iliyodetermine uwepo wake leo hii.
Naam usisahahu pia serekali ya Magufuli ndo yenye wasio julikana walio taka kumpora uhai.Dr Ulimboka alipotekwa akateswa nusu kufa alitupwa porini pembeni mwa barabara akiwa hajiwezi.
Kuna wasamalia wakamuona akiwa hoi huko porini na kuwataarifu akina Kijo Bisimba, Waliomfuata wakamuokota wakamuhifadhi vizuri wakampeleka Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya Tiba.
Kwa vyovyote vile, wale waliomuokota na kumhifadhi na kisha mumpeleka Muhimbili ni watu muhimu sana na wenye mchango mkubwa sana katika process nzima iliyookoa UHAI wa Dr Ulimboka.
Itakuwa ajabu sana ikiwa Dr Ulimboka anaweza kutoa shukrani kwa Muhimbili na madaktari waliomtibu kuwa eti ndio pekee wanaostahili kuchukua credit ya kuokoa maisha yake na kuwasahau watu Muhimu kama akina Kijo Bisimba na wasamalia wema waliomuokota na kumhifadhina kisha kumsafirisha kwa hao wanaoonekana ndio "WAPONYAJI"
Swala la Mh Tundu Lissu halina tofauti kubwa na la Dr Ulimboka.
Lissu alipigwa risasi kadhaa, akawa hoi bin taabani, alibleed sana na kwa kweli isingekuwa juhudi za madaktari wa Dodoma General Hospital wakiongozwa na Bingwa Dr Ulisubisya Mpoki ambaye ndiye Katibu Mkuu wa wizara ya AFYA, CHADEMA tungelipeleka maiti NAIROBI.
Tundu Lissu tusingelikuwa naye akitupa kiki za kisiasa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari leo hii.
Kitaaluma inapotokea hali yoyote inayotishia kutoweka kwa UHAI jambo la msingi na muhimu ni kuoffer emmegency care inayomuondolea mgonjwa hatari ya kutoweka UHAI wake.
Hili lilifanywa vema na serikali ya Dr John Pombe Magufuli.
Hapo ndipo UTAALAMU wa hali ya JUU kabisa kama wa akina Dr Ulisubisya Mpoki (Katibu Mkuu - Wizara ya Afya) unapohitajika na ndipo hasa palipo na kiini cha mgonjwa kupona au kupoteza UHAI wake.
Namaanisha Tiba iliyotolewa na serikali hii ya Dr John Pombe Magufuli ndiyo iliyodetermine Outcome inayotupa kiki mtaani leo.
CHADEMA tuache UNAFIKI. Ndani ya CHADEMA kuna Madaktari akiwemo Katibu mkuu wa chama chetu.
Tumwambie Mwenyekiti wetu, tuwaambie akina Lema na akina Msigwa Uhalisia wa nani hasa aliyeokoa UHAI wa Mh Tundu LISSU.
Je Ni Madakatari wa NAIROBI au ni MADAKATARI wa serikali ya Mh MAGUFULI?
Katika Taaluma huwa kuna msemo kuwa anayemuona mgonjwa kwa mara ya kwanza ndiye determinant kwa asilimia kubwa ya outcome ya tiba.
Nasubiri neno la shukrani la MhTundu Lissu mwenyewe kama naye ataishia kuwashukuru akina Mange Kimambi, Wema na madaktari wa NAIROBI, au ataikumbuka na serikali ya Magufuli iliyodetermine uwepo wake leo hii.
Dr Ulimboka alipotekwa akateswa nusu kufa alitupwa porini pembeni mwa barabara akiwa hajiwezi.
Kuna wasamalia wakamuona akiwa hoi huko porini na kuwataarifu akina Kijo Bisimba, Waliomfuata wakamuokota wakamuhifadhi vizuri wakampeleka Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya Tiba.
Kwa vyovyote vile, wale waliomuokota na kumhifadhi na kisha mumpeleka Muhimbili ni watu muhimu sana na wenye mchango mkubwa sana katika process nzima iliyookoa UHAI wa Dr Ulimboka.
Itakuwa ajabu sana ikiwa Dr Ulimboka anaweza kutoa shukrani kwa Muhimbili na madaktari waliomtibu kuwa eti ndio pekee wanaostahili kuchukua credit ya kuokoa maisha yake na kuwasahau watu Muhimu kama akina Kijo Bisimba na wasamalia wema waliomuokota na kumhifadhina kisha kumsafirisha kwa hao wanaoonekana ndio "WAPONYAJI"
Swala la Mh Tundu Lissu halina tofauti kubwa na la Dr Ulimboka.
Lissu alipigwa risasi kadhaa, akawa hoi bin taabani, alibleed sana na kwa kweli isingekuwa juhudi za madaktari wa Dodoma General Hospital wakiongozwa na Bingwa Dr Ulisubisya Mpoki ambaye ndiye Katibu Mkuu wa wizara ya AFYA, CHADEMA tungelipeleka maiti NAIROBI.
Tundu Lissu tusingelikuwa naye akitupa kiki za kisiasa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari leo hii.
Kitaaluma inapotokea hali yoyote inayotishia kutoweka kwa UHAI jambo la msingi na muhimu ni kuoffer emmegency care inayomuondolea mgonjwa hatari ya kutoweka UHAI wake.
Hili lilifanywa vema na serikali ya Dr John Pombe Magufuli.
Hapo ndipo UTAALAMU wa hali ya JUU kabisa kama wa akina Dr Ulisubisya Mpoki (Katibu Mkuu - Wizara ya Afya) unapohitajika na ndipo hasa palipo na kiini cha mgonjwa kupona au kupoteza UHAI wake.
Namaanisha Tiba iliyotolewa na serikali hii ya Dr John Pombe Magufuli ndiyo iliyodetermine Outcome inayotupa kiki mtaani leo.
CHADEMA tuache UNAFIKI. Ndani ya CHADEMA kuna Madaktari akiwemo Katibu mkuu wa chama chetu.
Tumwambie Mwenyekiti wetu, tuwaambie akina Lema na akina Msigwa Uhalisia wa nani hasa aliyeokoa UHAI wa Mh Tundu LISSU.
Je Ni Madakatari wa NAIROBI au ni MADAKATARI wa serikali ya Mh MAGUFULI?
Katika Taaluma huwa kuna msemo kuwa anayemuona mgonjwa kwa mara ya kwanza ndiye determinant kwa asilimia kubwa ya outcome ya tiba.
Nasubiri neno la shukrani la MhTundu Lissu mwenyewe kama naye ataishia kuwashukuru akina Mange Kimambi, Wema na madaktari wa NAIROBI, au ataikumbuka na serikali ya Magufuli iliyodetermine uwepo wake leo hii.
Mkuu umemjibu vibaya sanasijui amesoma shule ipiKama ntakuwa cko sahihi, naomba kukosolewa, ila kwa hotuba ya Mbowe jana alitambua mchango mkubwa wa Madaktari wa Dodoma Kwa kazi nzuri ya kuokoa maisha Ya Lissu kabla hajasafirishwa kwenda Nairobi. Cjui mwenzetu ulisikia kuwa walitambuliwa kina Mange tu? Nadhani utakuwa na tatizo la Comprehension yaani Listening and Understanding au unaendekeza unazi kwenye Mambo Sensitive.
Makosa:
1. Serikali ya Magufuli
Hapana. Usahihi ni serikali ya Tanzania
Inaendelea........
Ila hawafahamu majina hata mmoja isipokuwa wa Kenya ndo anawafahamu kwa majina. Kwa Tanzania anawafahamu Mange na Wema.Kama ntakuwa cko sahihi, naomba kukosolewa, ila kwa hotuba ya Mbowe jana alitambua mchango mkubwa wa Madaktari wa Dodoma Kwa kazi nzuri ya kuokoa maisha Ya Lissu kabla hajasafirishwa kwenda Nairobi. Cjui mwenzetu ulisikia kuwa walitambuliwa kina Mange tu? Nadhani utakuwa na tatizo la Comprehension yaani Listening and Understanding au unaendekeza unazi kwenye Mambo Sensitive.
Lissu hata asingehudumiwa na madaktari wa Tanzania Angepona tuu uhai wa Lissu Uko Uko mikononi mwa Mungu Pekee... Risasi moja inatosha kutoa uhai wa mtu sembuse nane? Matendo mema ya Lissu kupigania haki kumemuokoa na kifo.... Tenda mema na Mungu atakulinda
Dr Ulimboka alipotekwa akateswa nusu kufa alitupwa porini pembeni mwa barabara akiwa hajiwezi.
Kuna wasamalia wakamuona akiwa hoi huko porini na kuwataarifu akina Kijo Bisimba, Waliomfuata wakamuokota wakamuhifadhi vizuri wakampeleka Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya Tiba.
Kwa vyovyote vile, wale waliomuokota na kumhifadhi na kisha mumpeleka Muhimbili ni watu muhimu sana na wenye mchango mkubwa sana katika process nzima iliyookoa UHAI wa Dr Ulimboka.
Itakuwa ajabu sana ikiwa Dr Ulimboka anaweza kutoa shukrani kwa Muhimbili na madaktari waliomtibu kuwa eti ndio pekee wanaostahili kuchukua credit ya kuokoa maisha yake na kuwasahau watu Muhimu kama akina Kijo Bisimba na wasamalia wema waliomuokota na kumhifadhina kisha kumsafirisha kwa hao wanaoonekana ndio "WAPONYAJI"
Swala la Mh Tundu Lissu halina tofauti kubwa na la Dr Ulimboka.
Lissu alipigwa risasi kadhaa, akawa hoi bin taabani, alibleed sana na kwa kweli isingekuwa juhudi za madaktari wa Dodoma General Hospital wakiongozwa na Bingwa Dr Ulisubisya Mpoki ambaye ndiye Katibu Mkuu wa wizara ya AFYA, CHADEMA tungelipeleka maiti NAIROBI.
Tundu Lissu tusingelikuwa naye akitupa kiki za kisiasa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari leo hii.
Kitaaluma inapotokea hali yoyote inayotishia kutoweka kwa UHAI jambo la msingi na muhimu ni kuoffer emmegency care inayomuondolea mgonjwa hatari ya kutoweka UHAI wake.
Hili lilifanywa vema na serikali ya Dr John Pombe Magufuli.
Hapo ndipo UTAALAMU wa hali ya JUU kabisa kama wa akina Dr Ulisubisya Mpoki (Katibu Mkuu - Wizara ya Afya) unapohitajika na ndipo hasa palipo na kiini cha mgonjwa kupona au kupoteza UHAI wake.
Namaanisha Tiba iliyotolewa na serikali hii ya Dr John Pombe Magufuli ndiyo iliyodetermine Outcome inayotupa kiki mtaani leo.
CHADEMA tuache UNAFIKI. Ndani ya CHADEMA kuna Madaktari akiwemo Katibu mkuu wa chama chetu.
Tumwambie Mwenyekiti wetu, tuwaambie akina Lema na akina Msigwa Uhalisia wa nani hasa aliyeokoa UHAI wa Mh Tundu LISSU.
Je Ni Madakatari wa NAIROBI au ni MADAKATARI wa serikali ya Mh MAGUFULI?
Katika Taaluma huwa kuna msemo kuwa anayemuona mgonjwa kwa mara ya kwanza ndiye determinant kwa asilimia kubwa ya outcome ya tiba.
Nasubiri neno la shukrani la MhTundu Lissu mwenyewe kama naye ataishia kuwashukuru akina Mange Kimambi, Wema na madaktari wa NAIROBI, au ataikumbuka na serikali ya Magufuli iliyodetermine uwepo wake leo hii.
naona alitaka amtaje mkuu wa serikaliKama ntakuwa cko sahihi, naomba kukosolewa, ila kwa hotuba ya Mbowe jana alitambua mchango mkubwa wa Madaktari wa Dodoma Kwa kazi nzuri ya kuokoa maisha Ya Lissu kabla hajasafirishwa kwenda Nairobi. Cjui mwenzetu ulisikia kuwa walitambuliwa kina Mange tu? Nadhani utakuwa na tatizo la Comprehension yaani Listening and Understanding au unaendekeza unazi kwenye Mambo Sensitive.
Mkuu mimi ni mwanaCHADEMA haswa! ingawa huwa sikubaliani na baadhi ya mambo ambayo chama changu kinafanya.Chintu hapo Lumumba wamekupa kazi ya kujifanya wewe kuwa ni mwana CHADEMA hapa JF? Mbona kama unafanya kamchezo ka Mbuni kufukia kichwa chini wakati mwilil mzima unaonekana?