CHADEMA tuishukuru serikali kwa kuokoa maisha ya Tundu Lissu

Chintu

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
5,437
3,457
Dr Ulimboka alipotekwa akateswa nusu kufa alitupwa porini pembeni mwa barabara akiwa hajiwezi.

Kuna wasamalia wakamuona akiwa hoi huko porini na kuwataarifu akina Kijo Bisimba, Waliomfuata wakamuokota wakamuhifadhi vizuri wakampeleka Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya Tiba.

Kwa vyovyote vile, wale waliomuokota na kumhifadhi na kisha mumpeleka Muhimbili ni watu muhimu sana na wenye mchango mkubwa sana katika process nzima iliyookoa UHAI wa Dr Ulimboka.

Itakuwa ajabu sana ikiwa Dr Ulimboka anaweza kutoa shukrani kwa Muhimbili na madaktari waliomtibu kuwa eti ndio pekee wanaostahili kuchukua credit ya kuokoa maisha yake na kuwasahau watu Muhimu kama akina Kijo Bisimba na wasamalia wema waliomuokota na kumhifadhina kisha kumsafirisha kwa hao wanaoonekana ndio "WAPONYAJI"

Swala la Mh Tundu Lissu halina tofauti kubwa na la Dr Ulimboka.

Lissu alipigwa risasi kadhaa, akawa hoi bin taabani, alibleed sana na kwa kweli isingekuwa juhudi za madaktari wa Dodoma General Hospital wakiongozwa na Bingwa Dr Ulisubisya Mpoki ambaye ndiye Katibu Mkuu wa wizara ya AFYA, CHADEMA tungelipeleka maiti NAIROBI.

Tundu Lissu tusingelikuwa naye akitupa kiki za kisiasa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari leo hii.

Kitaaluma inapotokea hali yoyote inayotishia kutoweka kwa UHAI jambo la msingi na muhimu ni kuoffer emmegency care inayomuondolea mgonjwa hatari ya kutoweka UHAI wake.

Hili lilifanywa vema na serikali ya Dr John Pombe Magufuli.

Hapo ndipo UTAALAMU wa hali ya JUU kabisa kama wa akina Dr Ulisubisya Mpoki (Katibu Mkuu - Wizara ya Afya) unapohitajika na ndipo hasa palipo na kiini cha mgonjwa kupona au kupoteza UHAI wake.

Namaanisha Tiba iliyotolewa na serikali hii ya Dr John Pombe Magufuli ndiyo iliyodetermine Outcome inayotupa kiki mtaani leo.

CHADEMA tuache UNAFIKI. Ndani ya CHADEMA kuna Madaktari akiwemo Katibu mkuu wa chama chetu.

Tumwambie Mwenyekiti wetu, tuwaambie akina Lema na akina Msigwa Uhalisia wa nani hasa aliyeokoa UHAI wa Mh Tundu LISSU.

Je Ni Madakatari wa NAIROBI au ni MADAKATARI wa serikali ya Mh MAGUFULI?

Katika Taaluma huwa kuna msemo kuwa anayemuona mgonjwa kwa mara ya kwanza ndiye determinant kwa asilimia kubwa ya outcome ya tiba.
Nasubiri neno la shukrani la MhTundu Lissu mwenyewe kama naye ataishia kuwashukuru akina Mange Kimambi, Wema na madaktari wa NAIROBI, au ataikumbuka na serikali ya Magufuli iliyodetermine uwepo wake leo hii.
 
Dr Ulimboka alipotekwa akateswa nusu kufa alitupwa porini pembeni mwa barabara akiwa hajiwezi.

Kuna wasamalia wakamuona akiwa hoi huko porini na kuwataarifu akina Kijo Bisimba, Waliomfuata wakamuokota wakamuhifadhi vizuri wakampeleka Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya Tiba.

Kwa vyovyote vile, wale waliomuokota na kumhifadhi na kisha mumpeleka Muhimbili ni watu muhimu sana na wenye mchango mkubwa sana katika process nzima iliyookoa UHAI wa Dr Ulimboka.

Itakuwa ajabu sana ikiwa Dr Ulimboka anaweza kutoa shukrani kwa Muhimbili na madaktari waliomtibu kuwa eti ndio pekee wanaostahili kuchukua credit ya kuokoa maisha yake na kuwasahau watu Muhimu kama akina Kijo Bisimba na wasamalia wema waliomuokota na kumhifadhina kisha kumsafirisha kwa hao wanaoonekana ndio "WAPONYAJI"

Swala la Mh Tundu Lissu halina tofauti kubwa na la Dr Ulimboka.

Lissu alipigwa risasi kadhaa, akawa hoi bin taabani, alibleed sana na kwa kweli isingekuwa juhudi za madaktari wa Dodoma General Hospital wakiongozwa na Bingwa Dr Ulisubisya Mpoki ambaye ndiye Katibu Mkuu wa wizara ya AFYA, CHADEMA tungelipeleka maiti NAIROBI.

Tundu Lissu tusingelikuwa naye akitupa kiki za kisiasa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari leo hii.

Kitaaluma inapotokea hali yoyote inayotishia kutoweka kwa UHAI jambo la msingi na muhimu ni kuoffer emmegency care inayomuondolea mgonjwa hatari ya kutoweka UHAI wake.

Hili lilifanywa vema na serikali ya Dr John Pombe Magufuli.

Hapo ndipo UTAALAMU wa hali ya JUU kabisa kama wa akina Dr Ulisubisya Mpoki (Katibu Mkuu - Wizara ya Afya) unapohitajika na ndipo hasa palipo na kiini cha mgonjwa kupona au kupoteza UHAI wake.

Namaanisha Tiba iliyotolewa na serikali hii ya Dr John Pombe Magufuli ndiyo iliyodetermine Outcome inayotupa kiki mtaani leo.

CHADEMA tuache UNAFIKI. Ndani ya CHADEMA kuna Madaktari akiwemo Katibu mkuu wa chama chetu.

Tumwambie Mwenyekiti wetu, tuwaambie akina Lema na akina Msigwa Uhalisia wa nani hasa aliyeokoa UHAI wa Mh Tundu LISSU.

Je Ni Madakatari wa NAIROBI au ni MADAKATARI wa serikali ya Mh MAGUFULI?

Katika Taaluma huwa kuna msemo kuwa anayemuona mgonjwa kwa mara ya kwanza ndiye determinant kwa asilimia kubwa ya outcome ya tiba.
Nasubiri neno la shukrani la MhTundu Lissu mwenyewe kama naye ataishia kuwashukuru akina Mange Kimambi, Wema na madaktari wa NAIROBI, au ataikumbuka na serikali ya Magufuli iliyodetermine uwepo wake leo hii.
Kama ntakuwa cko sahihi, naomba kukosolewa, ila kwa hotuba ya Mbowe jana alitambua mchango mkubwa wa Madaktari wa Dodoma Kwa kazi nzuri ya kuokoa maisha Ya Lissu kabla hajasafirishwa kwenda Nairobi. Cjui mwenzetu ulisikia kuwa walitambuliwa kina Mange tu? Nadhani utakuwa na tatizo la Comprehension yaani Listening and Understanding au unaendekeza unazi kwenye Mambo Sensitive.
 
Huyo ana lengo lake la kinafiki analotaka litimie. Anafikiri, kwa akili yake fupi, kuwa hizo sifa zikitolewa zitaondoa ukweli kuwa vyombo vya usalama ni watuhumiwa namba moja ktk tukio la kushambuliwa kwa Lisu, ambaye alishaonekana kama msaliti vitani na wakubwa na kuamriwa kuwa hawezi kusurvive. Shame.
 
Mleta hoja usitutoe relini!! Madaktari wa Dodoma walifanya wajibu wao na wale wa Nairobi wametimiza wajibu wao na mgonjwa hajapona kiasi kudai shukrani!! Mgonjwa bado hawezi hata kujimudu kitandani alikolazwa huku wewe unadai shukrani?!

Kikubwa serikali kwa maana ya viongozi wameinyesha chuki na ubaguzi kwa mgonjwa as if hakuwa muajiriwa wa bunge!! Huyu mtu amemiminiwa risasi kama chatu au simba. Alistahili kuhudumiwa na mihimili anaoutumikia na si kukiachia chama chake
 
Mimi nimesikia Mbowe sio mara moja kila alipoongelea issue hiyo amewashukuru sana Madaktari wa Dodoma General Hospital na Hata Msigwa nimemsikia mara zote anasema amewashukuru Madaktari wa Dodoma sasa hiki unachongelea naona ni mwendelezo wa siasa. Unazunguka mara serikali mara Magu sijui CCM.....

Kifupi ni kuwa Tunashukuru Wote waliookoa maisha ya Lisu hasa Dereva wa Lisu then waliomwahisha hosp na Madaktari wa Dodoma halafu na Wanaendelea kumtibu, kwa namna ya Pekee asante Watanzania wenye mapenzi mema na kuchanga hela kidogo kidogo za matibabu.

Mlaaniwe mliamrisha mauaji ya Lisu na Mlaaniwe mlio tekeleza, mlaaniwe mnaoshabikia na kururahi, walaaniwe waliozuia pesa ambayo Wabunge walichanga, Walaaniwe wenye jukumu la kulinda uhai badala yake wanaua watu. Mlaaniwe enyi wanafiki woooote mnaoshinda humu kubadilisha na kupindisha ukweli.
 
Sifa zooooote ziiendee serikali hii tukufu sanaaaaa!!! Majina yenu yanayotukuka yapewe sifa mnooo. Get well TL.
 
Kama ntakuwa cko sahihi, naomba kukosolewa, ila kwa hotuba ya Mbowe jana alitambua mchango mkubwa wa Madaktari wa Dodoma Kwa kazi nzuri ya kuokoa maisha Ya Lissu kabla hajasafirishwa kwenda Nairobi. Cjui mwenzetu ulisikia kuwa walitambuliwa kina Mange tu? Nadhani utakuwa na tatizo la Comprehension yaani Listening and Understanding au unaendekeza unazi kwenye Mambo Sensitive.
Mwambie kwa kweli. Maana kakurupuka na wala hakumwelewa mwenyekiti. Aliwashuru kwa umakini wa hali ya juu kwa kazi kubwa waliyofanya. Lawama zimetolewa kwa serikali siyo kwa sababu ya huduma ya hospitali na Madaktari bali kutomjali mgonjwa ambaye ni Mbunge.
 
Dr Ulimboka alipotekwa akateswa nusu kufa alitupwa porini pembeni mwa barabara akiwa hajiwezi.

Kuna wasamalia wakamuona akiwa hoi huko porini na kuwataarifu akina Kijo Bisimba, Waliomfuata wakamuokota wakamuhifadhi vizuri wakampeleka Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya Tiba.

Kwa vyovyote vile, wale waliomuokota na kumhifadhi na kisha mumpeleka Muhimbili ni watu muhimu sana na wenye mchango mkubwa sana katika process nzima iliyookoa UHAI wa Dr Ulimboka.

Itakuwa ajabu sana ikiwa Dr Ulimboka anaweza kutoa shukrani kwa Muhimbili na madaktari waliomtibu kuwa eti ndio pekee wanaostahili kuchukua credit ya kuokoa maisha yake na kuwasahau watu Muhimu kama akina Kijo Bisimba na wasamalia wema waliomuokota na kumhifadhina kisha kumsafirisha kwa hao wanaoonekana ndio "WAPONYAJI"

Swala la Mh Tundu Lissu halina tofauti kubwa na la Dr Ulimboka.

Lissu alipigwa risasi kadhaa, akawa hoi bin taabani, alibleed sana na kwa kweli isingekuwa juhudi za madaktari wa Dodoma General Hospital wakiongozwa na Bingwa Dr Ulisubisya Mpoki ambaye ndiye Katibu Mkuu wa wizara ya AFYA, CHADEMA tungelipeleka maiti NAIROBI.

Tundu Lissu tusingelikuwa naye akitupa kiki za kisiasa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari leo hii.

Kitaaluma inapotokea hali yoyote inayotishia kutoweka kwa UHAI jambo la msingi na muhimu ni kuoffer emmegency care inayomuondolea mgonjwa hatari ya kutoweka UHAI wake.

Hili lilifanywa vema na serikali ya Dr John Pombe Magufuli.

Hapo ndipo UTAALAMU wa hali ya JUU kabisa kama wa akina Dr Ulisubisya Mpoki (Katibu Mkuu - Wizara ya Afya) unapohitajika na ndipo hasa palipo na kiini cha mgonjwa kupona au kupoteza UHAI wake.

Namaanisha Tiba iliyotolewa na serikali hii ya Dr John Pombe Magufuli ndiyo iliyodetermine Outcome inayotupa kiki mtaani leo.

CHADEMA tuache UNAFIKI. Ndani ya CHADEMA kuna Madaktari akiwemo Katibu mkuu wa chama chetu.

Tumwambie Mwenyekiti wetu, tuwaambie akina Lema na akina Msigwa Uhalisia wa nani hasa aliyeokoa UHAI wa Mh Tundu LISSU.

Je Ni Madakatari wa NAIROBI au ni MADAKATARI wa serikali ya Mh MAGUFULI?

Katika Taaluma huwa kuna msemo kuwa anayemuona mgonjwa kwa mara ya kwanza ndiye determinant kwa asilimia kubwa ya outcome ya tiba.
Nasubiri neno la shukrani la MhTundu Lissu mwenyewe kama naye ataishia kuwashukuru akina Mange Kimambi, Wema na madaktari wa NAIROBI, au ataikumbuka na serikali ya Magufuli iliyodetermine uwepo wake leo hii.

Makosa:

1. Serikali ya Magufuli

Hapana. Usahihi ni serikali ya Tanzania

Inaendelea........
 
Yaonekana unaharisha na umetumwa, sasa mharo wako wapelekee waliokutuma, hayo unayosema umesikia kwenye mdomo was Tundu lisu??? Shut up bakuli lako
 
Lissu hata asingehudumiwa na madaktari wa Tanzania Angepona tuu uhai wa Lissu Uko Uko mikononi mwa Mungu Pekee... Risasi moja inatosha kutoa uhai wa mtu sembuse nane? Matendo mema ya Lissu kupigania haki kumemuokoa na kifo.... Tenda mema na Mungu atakulinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom