Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Nimesmsikiliza Mbowe na baada ya kumsiliza, nimegundua watu kweli wanaunga mkono juhudi na hii ni kwa mujibu wa form za matokeo ambazo Mbowe alizisoma mbele ya waandishi.
Sasa hebu tutiririke hapa chini kwa kuangalia vitu hivi ya Ukonga ambavyo mawakala wa upinzani walimudu kubaki vituoni.
Kituo namba QTB 2
Waliojiandikisha:433
Waliopiga kura: 25
CCM................. : 12
CHADEMA....... :13
Kiwanja cha shule QTB 5
Waliojiandikisha: 433
Waliopiga kura :23
CCM.................... 11
CHADEMA...........12
Viwanja vya wazi EFATHA
kituoa A2
Waliojiandikisha........... 453
Waliopiga kura.............. 54
CCM...............................18
CHADEMA.....................33
Kituo QTB 6
Waliojiandikisha: 435
Waliopiga kura.... 24
CCM.....................13
CHADEMA...........11
Matokei ya kituo ambacho mawakala wa CHADEMA waliondolewa:
EFATHA A1
Waliojiandikisha.....431
Waliopiga kura........ 309
CCM..........................301
CHADEMA.................07
Kwa mwendo huu, hata mimi lazima niunge mkono juhudi maana hivi ni vituo vichahe tu miongoni mwa vingi vilivyotolewa kama mfano.
Sasa hebu tutiririke hapa chini kwa kuangalia vitu hivi ya Ukonga ambavyo mawakala wa upinzani walimudu kubaki vituoni.
Kituo namba QTB 2
Waliojiandikisha:433
Waliopiga kura: 25
CCM................. : 12
CHADEMA....... :13
Kiwanja cha shule QTB 5
Waliojiandikisha: 433
Waliopiga kura :23
CCM.................... 11
CHADEMA...........12
Viwanja vya wazi EFATHA
kituoa A2
Waliojiandikisha........... 453
Waliopiga kura.............. 54
CCM...............................18
CHADEMA.....................33
Kituo QTB 6
Waliojiandikisha: 435
Waliopiga kura.... 24
CCM.....................13
CHADEMA...........11
Matokei ya kituo ambacho mawakala wa CHADEMA waliondolewa:
EFATHA A1
Waliojiandikisha.....431
Waliopiga kura........ 309
CCM..........................301
CHADEMA.................07
Kwa mwendo huu, hata mimi lazima niunge mkono juhudi maana hivi ni vituo vichahe tu miongoni mwa vingi vilivyotolewa kama mfano.