Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,150
Uchaguzi uliopita umeacha mambo mengi ambayo watanzania tutaendelea kuyakumbuka! Kubwa zaidi ni kuitikisa ngome ya CCM to the core! Sasa nafahamu fika ya kwamba Tanzania bila CCM inawezekana. Mbinu walioyokuja nayo safari hii, ni kupaint picture Dr Slaa hakupigiwa kura wa Watz walio wengi. Kila mtu anafahamu walichoambulia kule Mz, Shinyanga, Arusha, Mara, Kilimanjaro, Mbeya, Rukwa (Sumbawanga) na maeneo mengine mengi!
Aidha nafahamu fika wazi kuwa JK anafahamu kile walichofanya na Chama chake. Watz wengi tunaimani na Dr Slaa na CHADEMA, vile vile hatuko tayari kuwa chimbuko la vurugu na umwagaji damu wa Wtz
Ushauri, tuwavue nguo hawa! CCM, tume ya uchaguzi! Ushahidi tunao na vielelezo vipo, Yawekeni hadharani matokeo ya halali ya mawakala, wezi wawekeni hdhari waliibaje, nani alihusika na wizi hii. Wtz wakiisha kuijua kweli itawaweka huru! 2015 TUTAIMARISHA ULINZI WA KURA ZETU.
Aidha nafahamu fika wazi kuwa JK anafahamu kile walichofanya na Chama chake. Watz wengi tunaimani na Dr Slaa na CHADEMA, vile vile hatuko tayari kuwa chimbuko la vurugu na umwagaji damu wa Wtz
Ushauri, tuwavue nguo hawa! CCM, tume ya uchaguzi! Ushahidi tunao na vielelezo vipo, Yawekeni hadharani matokeo ya halali ya mawakala, wezi wawekeni hdhari waliibaje, nani alihusika na wizi hii. Wtz wakiisha kuijua kweli itawaweka huru! 2015 TUTAIMARISHA ULINZI WA KURA ZETU.