Kibo255
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 4,408
- 3,938
Ukweli ni kwamba ccm mmetufikisha hapa kwa unafiki wenu hamutaki kukubali nyie ndio mliopitisha Sheria Na viongozi wenu waliosaini mikataba hiyo Na ata huyu anayesema sasa anaumia alikuwa kwenye kundi hilo wa wabunge wa ccm ndio mlipiga kura za ndio hii laana ya unafiki itawaumbuawekeni tamko la kuunga mkono acacia tuache kuibiaibia....chagueni upande na sio undumilakuili