CHADEMA toeni Tamko la kutangaza nia ya kugombea…

amba.nkya

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
446
131
Habari wanajamvi,
Nianze na ku "declare interest" kuwa mimi nimiongoni mwa wenye maono ya kugombea Ubunge, 2015 kupitia chama changu CDMkwenye jimbo langu ambalo sitalitaja kwa sasa. Sifa na vigezo vya kugombeaUbunge ninavyo; nikitaja baadhi ni kuwa mtanzania halisi, mwanachama mwaminifuna mzalendo, msomi, kiongozi, mpigania haki na usawa na kuweka mbele maslahi ya wanyonge juu ya kunufaika na raslimali luluki za Taifa hili. Aidha, nakubalikakwenye jimbo langu. Hata hivyo, pamojana sifa, vigezo nilivyotaja na kukubalika kwangu jimboni kwangu sijawahi kuwana kimbelembele cha kutangaza nia yangu mapema bali nafanya kazi kwanza ya kujengana kuimarisha chama changu kuanzia ngazi ya misingi.

Vilevile, sababu yakutotangaza mapema ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA ni chama inayojiendeshakitaasisi kwa kuzingatia Katiba, taratibu, kanuni na miongozo yake. Miongonimwa taratibu, kanuni na miongozo hiyo ni pamoja na kupiga marufuku mwanachamayeyote kutangaza nia ya kugombea nafasi yoyote hususani udiwani, ubunge naurais kabla muda muafaka wa kufanya hivyo haujawadia maana itakuwa ni kampeni;mfano kuna waraka umetolewa na chama hivi karibuni unaoelezea suala hili. Lakini inanipa shidasana kwa viongozi wakuu kunyamazia mtu kutangaza kugombea nafasi nyeti kama yaUrais wakati wanachama wengine wamekaa kimya wakisubiri kipenga kipulizwe cha kutangazania.

Ninashawishika kuamini kuwa Mh. Zitto Kabwe kutangaza nia ya kugombeaurais, 2015 pamoja na kuwa ana haki ndani ya chama; anatumika na CCM kwamaslahi yake binafsi, ni mroho wa madaraka, amelewa sifa ama anasukumwa na wapambena mamluki ili kuisambaratisha CDM. Nasema hivyo kutokana na jinsi nilivyoelezahapo juu hasa kwa kuzingatia kuwa Mh. Zitto ni kiongozi mkubwa wa chamaanayejua jinsi chama kinavyoendeshwa. Bado najiuliza kwanini anapata ujasiri wakuendelea kutangaza mara kwa mara kugombea urais hata kabla muda haujafika hukuwanachama wengine tuko busy kufanya shughuli za kukijenga chama na tukisubiritamko rasmi la chama kuanza harakati za kutangaza nia.

Ushauri wangu kwa Mh.Zitto na wanachama wenzangu, kwa utafiti wangu na kuzingatia hali ya kisiasakwa sasa nchini Tanzania, ni kwamba Dr. Slaa ndio tegemeo na chaguo la wengikwa nafasi ya Urais, 2015 na watanzania wengi wana imani kubwa naye. Hata hivyo, Dr. Slaa hajawahi kutangazania hiyo hadharani au kwenye vikao vya chama ingawa wananchi wengi wanamwitaRais mtarajiwa kwa kuwa wamemuona anafaa kuwa Rais. Mh. Zitto pamoja na wapambewako mnapaswa kutambua, kukubali na kuheshimu ukweli huu kwa maslahi ya chamana Watanzania kwa ujumla.

Mwisho, naomba chama kitoe tamko rasmi au warakamwingine iwapo mwanachama yeyote anaweza kuanza kutangaza nia ya kugombea kablaya muda kufika ama la.

Nawasilisha………

 
Macho yanauma kusoma post yako mkuu, hebu fanya punctuation
 
Habari wanajamvi,
Nianze na ku "declare interest" kuwa mimi nimiongoni mwa wenye maono ya kugombea Ubunge, 2015 kupitia chama changu CDMkwenye jimbo langu ambalo sitalitaja kwa sasa. Sifa na vigezo vya kugombeaUbunge ninavyo; nikitaja baadhi ni kuwa mtanzania halisi, mwanachama mwaminifuna mzalendo, msomi, kiongozi, mpigania haki na usawa na kuweka mbele maslahi ya wanyonge juu ya kunufaika na raslimali luluki za Taifa hili. Aidha, nakubalikakwenye jimbo langu. Hata hivyo, pamojana sifa, vigezo nilivyotaja na kukubalika kwangu jimboni kwangu sijawahi kuwana kimbelembele cha kutangaza nia yangu mapema bali nafanya kazi kwanza ya kujengana kuimarisha chama changu kuanzia ngazi ya misingi.

Vilevile, sababu yakutotangaza mapema ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA ni chama inayojiendeshakitaasisi kwa kuzingatia Katiba, taratibu, kanuni na miongozo yake. Miongonimwa taratibu, kanuni na miongozo hiyo ni pamoja na kupiga marufuku mwanachamayeyote kutangaza nia ya kugombea nafasi yoyote hususani udiwani, ubunge naurais kabla muda muafaka wa kufanya hivyo haujawadia maana itakuwa ni kampeni;mfano kuna waraka umetolewa na chama hivi karibuni unaoelezea suala hili. Lakini inanipa shidasana kwa viongozi wakuu kunyamazia mtu kutangaza kugombea nafasi nyeti kama yaUrais wakati wanachama wengine wamekaa kimya wakisubiri kipenga kipulizwe cha kutangazania.

Ninashawishika kuamini kuwa Mh. Zitto Kabwe kutangaza nia ya kugombeaurais, 2015 pamoja na kuwa ana haki ndani ya chama; anatumika na CCM kwamaslahi yake binafsi, ni mroho wa madaraka, amelewa sifa ama anasukumwa na wapambena mamluki ili kuisambaratisha CDM. Nasema hivyo kutokana na jinsi nilivyoelezahapo juu hasa kwa kuzingatia kuwa Mh. Zitto ni kiongozi mkubwa wa chamaanayejua jinsi chama kinavyoendeshwa. Bado najiuliza kwanini anapata ujasiri wakuendelea kutangaza mara kwa mara kugombea urais hata kabla muda haujafika hukuwanachama wengine tuko busy kufanya shughuli za kukijenga chama na tukisubiritamko rasmi la chama kuanza harakati za kutangaza nia.

Ushauri wangu kwa Mh.Zitto na wanachama wenzangu, kwa utafiti wangu na kuzingatia hali ya kisiasakwa sasa nchini Tanzania, ni kwamba Dr. Slaa ndio tegemeo na chaguo la wengikwa nafasi ya Urais, 2015 na watanzania wengi wana imani kubwa naye. Hata hivyo, Dr. Slaa hajawahi kutangazania hiyo hadharani au kwenye vikao vya chama ingawa wananchi wengi wanamwitaRais mtarajiwa kwa kuwa wamemuona anafaa kuwa Rais. Mh. Zitto pamoja na wapambewako mnapaswa kutambua, kukubali na kuheshimu ukweli huu kwa maslahi ya chamana Watanzania kwa ujumla.

Mwisho, naomba chama kitoe tamko rasmi au warakamwingine iwapo mwanachama yeyote anaweza kuanza kutangaza nia ya kugombea kablaya muda kufika ama la.

Nawasilisha………


Kwa nini unamuingizia maneno mdomoni Dr Slaa? Ni lini alisema kuwa atagombea? Muacheni atasema muda ukiwadia
 
Sijui na yeye mtamuita msaliti?

Au mtasema kanuni zinaruhusu
Hujui kitu mjomba , lengo la huyo unayemsema kutangaza sasa nia yake ni kumvuruga sizonje na siasa zake za mchanga , ili vituo zaidi vya mafuta viendelee kufungwa .

Najua kwa akili yako ndogo hutanielewa .
 
Back
Top Bottom