Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
Dr Slaa, Tundu Lissu, Marando, Mnyika, Mdee, nyie ni viongozi wetu, na wananchi wengi
sana country wide depend on you, u r public voice, sauti ya wanyonge, sasa hadi sasa sijasikia mkipinga Dowans wasilipwe officially as leaders, vp? Mbona kimya? hizi ni pesa za
wanyonge watanzania zinataka kuibiwa wazi wazi, nilitegemea mngejipanga within a week
mtoe tamko kali, ila siku zinaenda nyie mko kimya? sikulitegemea hili, toeni tamko quickly na liwe kali na ikibidi maandamano yafanyike kuokoa wanyonge, bcoz hatuna imani na serikali kuhusu jambo hili, ni nyie basi mtungoze kulipinga kwa hali na mali, na huyu dowans hadi tumjue, kama yupo nchini hafai kuishi hapa kwetu TZ, si raia anaweza kufanya
uwizi mkubwa hivi, plse CDM we beg u, it is a right time, naona kama mmechelewa kidogo
sana country wide depend on you, u r public voice, sauti ya wanyonge, sasa hadi sasa sijasikia mkipinga Dowans wasilipwe officially as leaders, vp? Mbona kimya? hizi ni pesa za
wanyonge watanzania zinataka kuibiwa wazi wazi, nilitegemea mngejipanga within a week
mtoe tamko kali, ila siku zinaenda nyie mko kimya? sikulitegemea hili, toeni tamko quickly na liwe kali na ikibidi maandamano yafanyike kuokoa wanyonge, bcoz hatuna imani na serikali kuhusu jambo hili, ni nyie basi mtungoze kulipinga kwa hali na mali, na huyu dowans hadi tumjue, kama yupo nchini hafai kuishi hapa kwetu TZ, si raia anaweza kufanya
uwizi mkubwa hivi, plse CDM we beg u, it is a right time, naona kama mmechelewa kidogo