Chadema: The most popular political party in Tanzania

Mpanzi

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
785
440
Wiki hii nimekuwa nikipitia Vichwa vya habari vya magazeti yetu yakiwepo ya Chama na Serikali, Chadema inaongoza kwa kuandikwa sana, hata gazeti la Uhuru front page limeruka na habari ya Chadema, kila mahali kwenye mikusanyiko ni Chadema, mpaka Serikali na Bunge wanaugua Chadema fever, hali ikiindelea hivi 2015 CCM itakuwa ishasaahaulika, haisikiki!
 
251221_208685672509679_100001047439566_608660_2055622_n.jpg
 
CHADEMA IS Real Famous, kila mahali CHADEMA..! Kweli kabisa..yani kila ukitembea, kwenye safari, I mean Mabasi makubwa ya mikoani, daladala..hata kama hawapendi lakini wanajua kuwa ipo! Ni kama Wimbo wa Hussein Machozi..."" Utaipendaa Utaipendaaaa, kwa chuki, kwa wivu...utaipendaaaa!""
 
Wiki hii nimekuwa nikipitia Vichwa vya habari vya magazeti yetu yakiwepo ya Chama na Serikali, Chadema inaongoza kwa kuandikwa sana, hata gazeti la Uhuru front page limeruka na habari ya Chadema, kila mahali kwenye mikusanyiko ni Chadema, mpaka Serikali na Bunge wanaugua Chadema fever, hali ikiindelea hivi 2015 CCM itakuwa ishasaahaulika, haisikiki!

Wewe unatakaje hasa hapo palipokolezwa mkuu? Unataka raslimali za wa TZ ziendelee kuibwa na watu wachache wanaogawiana vyeo na kurithishana ili kulinda uhalifu huu? Unataka mabenki ya nje zaidi kujaa mapesa yetu yanayoporwa kwa vigezo vya kuleta wazungu nje ya migongo ya mafisadi?
 
Wiki hii nimekuwa nikipitia Vichwa vya habari vya magazeti yetu yakiwepo ya Chama na Serikali, Chadema inaongoza kwa kuandikwa sana, hata gazeti la Uhuru front page limeruka na habari ya Chadema, kila mahali kwenye mikusanyiko ni Chadema, mpaka Serikali na Bunge wanaugua Chadema fever, hali ikiindelea hivi 2015 CCM itakuwa ishasaahaulika, haisikiki!
Mwaka 2005 hali ilikua hivi hivi!
 
Wiki hii nimekuwa nikipitia Vichwa vya habari vya magazeti yetu yakiwepo ya Chama na Serikali, Chadema inaongoza kwa kuandikwa sana, hata gazeti la Uhuru front page limeruka na habari ya Chadema, kila mahali kwenye mikusanyiko ni Chadema, mpaka Serikali na Bunge wanaugua Chadema fever, hali ikiindelea hivi 2015 CCM itakuwa ishasaahaulika, haisikiki!

Kweli CDM ni most popular sio TZ tu world wide mazee pipoooooozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
 
Back
Top Bottom