Wiki hii nimekuwa nikipitia Vichwa vya habari vya magazeti yetu yakiwepo ya Chama na Serikali, Chadema inaongoza kwa kuandikwa sana, hata gazeti la Uhuru front page limeruka na habari ya Chadema, kila mahali kwenye mikusanyiko ni Chadema, mpaka Serikali na Bunge wanaugua Chadema fever, hali ikiindelea hivi 2015 CCM itakuwa ishasaahaulika, haisikiki!