Uchaguzi 2020 CHADEMA, TBC TV wanawaharibia kampeni ya mgombea Urais wenu Tundu Lissu; chukueni hatua sasa na haraka kabla hawajaharibu zaidi!

å Leo tarehe 16/9/2020 nimejikuta natazama taarifa ya habari ya saa 2usiku huu kwenye TV kupitia channel ya TBC....

å Taarifa ya kwanza ilikuwa ni kuripoti matukio ya kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka huu 2020 ya vyama tofauti tofauti...

å Wa kwanza kuripotiwa ni mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli akiwa Bukoba, Kagera. Ripota wa taarifa hii, akatumia back video yenye nyomi kweli kweli na hatua kwa hatua akadadavua ujumbe na tukio alilokusudia hadhira ijue kwa ufasaha kabisa...

å Baadaye ikafuata taarifa ya mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Antipas Lissu akiwa huko mkoa wa Songwe....

å Hapa ndo mtu utachoka na kucheka kuliko kawaida kwa sababu kilichiripotiwa ni tofauti kabisa na hali halisi ilivyokuwa ktk mikutano yote ya leo. Hapa ndo unaiona "NIA OVU" ya TBC TV...

å Wanachofanya TBC ni ili mradi tu habari ya CHADEMA na Tundu Lissu imeonekana kwenye TV yao ikiwa ni kwa shingo upande tu ya kujibu lawama wanazorushiwa za upendeleo wanaoufanya waziwazi kwa CCM na mgombea wao John Magufuli...

å Alichofanya ripota wa TBC kwenye mikutano ya Tundu Lissu si kuripoti kampeni bali ni kupotosha kwa kutumia negative TV broadcasting propaganda....

å Mfano "back up video" aliyotumia ripota wa leo kule Songwe ni ya kuchekesha kuliko kawaida kinyume kabisa na hali halisi....!

å Yaani badala ya kuonesha umati wa watu waliohudhuria mkutano, kwa makusudi kabisa mwandishi anaelekeza camera yake mlimani eneo tupu lisilo na watu huku kwenye ripoti yake akisema

"....wakimsikiliza mgombea Urais huyo akisema.....!"

å Lengo la mwandishi ni ili kumfanya anayetazama TV ashangae hao watu wanaomsikiliza huyu mgombea wako wapi? Mbona ni mlima mtupu tu?

å Kwa mtazamo wangu, niwashauri CHADEMA kuwa, hakuna haja ya kuendelea kushirikiana na TBC kwenye kampeni zenu. Piga marufuku ripota wote wa TBC. Hawa ni maadui katika kambi yenu ya mapambano....

å Hawastahili kuambatana nanyi ktk mikutano yenu, hawana nia njema dhidi yenu, wako kwa ajili ya kufanya propaganda hasi dhidi mgombea wenu...

å Hawa watangazaji wa TBC ni aidha kwa kutojua au kwa makusudi kabisa na kwa "NIA OVU" dhidi ya CHADEMA na mgombea Urais Tundu Lissu wameamua kuwa unethical & unprofessional ktk tasnia ya habari. Kwanini mshirikiane na watu wa namna hii??

å Kwanini muendelee kuwa na waandishi au chombo cha habari cha namna hii chenye waandishi/watangazaji ambao unethical and unprofessional?

å Kwa hakika, uwepo wao kwenye kampeni zenu hauwaongezei chochote zaidi tu kwamba unawaharibia kwa kutoa picha hasi kwa wapiga kura dhidi ya kampeni na mgombea wenu....!

å Hamchachelewa kuchukua hatua kwa sababu BETTER LATE THAN NEVER...!!


Naunga mkono hoja.

Kwa kuongeza tu, wafanyakazi wa TBC TV walioko field huwa wanachukua matukio yote kama yalivyo ila habari huhaririwa kishetani 100% ikifika srudio na wanaofanya hiyo kazi sio jopo la tbc peke yao...kuna external force (amri kutoka juu) ili kuaminisha watazamaji kuwa wanachokiona ndivyo kilivyo.

Wasichojua ni kuwa technology haidanganyi.

Kabla hawajarusha taarifa ya habari 68% ya watanzania walishaona through mobile phones na YouTube channels na sana share mpaka kesho yake 89% ya watanzania wameshaona kila kitu, so hao TBC ndio wanaonekana wajinga kwa kupotosha habari.

Zama za kudanganyana zilishasahaulika kitambo sana.
Huu uhariri ndio unaotakiwa kumfurahisha mgombea wa chama chao.

Endapo Lissu/CHADEMA watashinda uchaguzi huu Dr Ryoba ataficha wapi USO wake?


This is what they call DICTATORSHIP MENTALITY ya CCM leaders.

Ila wajue tu hakuna marefu yasiyo na mwisho.

Mungu sio kuwa haoni vilio vya watu wake ila the right time is coming soon.
 
Kwenye hili sioni tofauti kati ya TBC, ITV na AZAM TV wote wana ujinga ujinga fulani hivi. Yaani ukisikiliza huwezi kuelewa Lissu anaongea nini katika muktadha gani. Ndio tumefikia hapo kila mtu hofu hofu hofu.
 
å Leo tarehe 16/9/2020 nimejikuta natazama taarifa ya habari ya saa 2usiku huu kwenye TV kupitia channel ya TBC....

å Taarifa ya kwanza ilikuwa ni kuripoti matukio ya kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka huu 2020 ya vyama tofauti tofauti...

å Wa kwanza kuripotiwa ni mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli akiwa Bukoba, Kagera. Ripota wa taarifa hii, akatumia back video yenye nyomi kweli kweli na hatua kwa hatua akadadavua ujumbe na tukio alilokusudia hadhira ijue kwa ufasaha kabisa...

å Baadaye ikafuata taarifa ya mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Antipas Lissu akiwa huko mkoa wa Songwe....

å Hapa ndo mtu utachoka na kucheka kuliko kawaida kwa sababu kilichiripotiwa ni tofauti kabisa na hali halisi ilivyokuwa ktk mikutano yote ya leo. Hapa ndo unaiona "NIA OVU" ya TBC TV...

å Wanachofanya TBC ni ili mradi tu habari ya CHADEMA na Tundu Lissu imeonekana kwenye TV yao ikiwa ni kwa shingo upande tu ya kujibu lawama wanazorushiwa za upendeleo wanaoufanya waziwazi kwa CCM na mgombea wao John Magufuli...

å Alichofanya ripota wa TBC kwenye mikutano ya Tundu Lissu si kuripoti kampeni bali ni kupotosha kwa kutumia negative TV broadcasting propaganda....

å Mfano "back up video" aliyotumia ripota wa leo kule Songwe ni ya kuchekesha kuliko kawaida kinyume kabisa na hali halisi....!

å Yaani badala ya kuonesha umati wa watu waliohudhuria mkutano, kwa makusudi kabisa mwandishi anaelekeza camera yake mlimani eneo tupu lisilo na watu huku kwenye ripoti yake akisema

"....wakimsikiliza mgombea Urais huyo akisema.....!"

å Lengo la mwandishi ni ili kumfanya anayetazama TV ashangae hao watu wanaomsikiliza huyu mgombea wako wapi? Mbona ni mlima mtupu tu?

å Kwa mtazamo wangu, niwashauri CHADEMA kuwa, hakuna haja ya kuendelea kushirikiana na TBC kwenye kampeni zenu. Piga marufuku ripota wote wa TBC. Hawa ni maadui katika kambi yenu ya mapambano....

å Hawastahili kuambatana nanyi ktk mikutano yenu, hawana nia njema dhidi yenu, wako kwa ajili ya kufanya propaganda hasi dhidi mgombea wenu...

å Hawa watangazaji wa TBC ni aidha kwa kutojua au kwa makusudi kabisa na kwa "NIA OVU" dhidi ya CHADEMA na mgombea Urais Tundu Lissu wameamua kuwa unethical & unprofessional ktk tasnia ya habari. Kwanini mshirikiane na watu wa namna hii??

å Kwanini muendelee kuwa na waandishi au chombo cha habari cha namna hii chenye waandishi/watangazaji ambao unethical and unprofessional?

å Kwa hakika, uwepo wao kwenye kampeni zenu hauwaongezei chochote zaidi tu kwamba unawaharibia kwa kutoa picha hasi kwa wapiga kura dhidi ya kampeni na mgombea wenu....!

å Hamchachelewa kuchukua hatua kwa sababu BETTER LATE THAN NEVER...!!
Ukitembelea nyumba ukakuta wanatazama TBC ujue hiyo familia hakuna anayejitambua.

Kwani hamjui kama tbccm inakula sana umeme ?
 
Nmeona pia kupitia ITV .

Kwa ufupi huu uhuni Hadi Millard Ayo anao pia.


Unakuta Lissu anapouliza swali anataka mwitikio wa watu... Wao wanaiminya sauti ile, ili ionekane kama ameongea Pumba.


Lissu anaongea, wanaonyesha picha za pembezoni sanaaa ambako unakuta ni mwananchi mmoja mmoja.



NADHANI NI WAKATI MWAFAKA, KUWAFUKUZIA MBALI TBC NA ITV ,AYO .
Ayo. Lazima.awe RAS muda wowote.
 
Tundu Lissu ndiye tunayempa nchi hiyo tarehe 28. So hata wafanyaje, mwendo ni huo. Jiwe out.
 
Maamuzi ya kipindi kile ya kuwafukuza Tbc mkutanoni yalikua mazuri saaaaana nashangaa sijui Mbowe alitoka wapi tena akaleta busara zake za kikuda mara naona anapiga picha na boss wa Tbc na kusema ooh tumeyamaliza sijui nini bla bla blah kibao.
Nimecheka.mno.Mkuu.unapenda.sana.Shari siyo?
 
å Leo tarehe 16/9/2020 nimejikuta natazama taarifa ya habari ya saa 2usiku huu kwenye TV kupitia channel ya TBC....

å Taarifa ya kwanza ilikuwa ni kuripoti matukio ya kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka huu 2020 ya vyama tofauti tofauti...

å Wa kwanza kuripotiwa ni mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli akiwa Bukoba, Kagera. Ripota wa taarifa hii, akatumia back video yenye nyomi kweli kweli na hatua kwa hatua akadadavua ujumbe na tukio alilokusudia hadhira ijue kwa ufasaha kabisa...

å Baadaye ikafuata taarifa ya mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Antipas Lissu akiwa huko mkoa wa Songwe....

å Hapa ndo mtu utachoka na kucheka kuliko kawaida kwa sababu kilichiripotiwa ni tofauti kabisa na hali halisi ilivyokuwa ktk mikutano yote ya leo. Hapa ndo unaiona "NIA OVU" ya TBC TV...

å Wanachofanya TBC ni ili mradi tu habari ya CHADEMA na Tundu Lissu imeonekana kwenye TV yao ikiwa ni kwa shingo upande tu ya kujibu lawama wanazorushiwa za upendeleo wanaoufanya waziwazi kwa CCM na mgombea wao John Magufuli...

å Alichofanya ripota wa TBC kwenye mikutano ya Tundu Lissu si kuripoti kampeni bali ni kupotosha kwa kutumia negative TV broadcasting propaganda....

å Mfano "back up video" aliyotumia ripota wa leo kule Songwe ni ya kuchekesha kuliko kawaida kinyume kabisa na hali halisi....!

å Yaani badala ya kuonesha umati wa watu waliohudhuria mkutano, kwa makusudi kabisa mwandishi anaelekeza camera yake mlimani eneo tupu lisilo na watu huku kwenye ripoti yake akisema

"....wakimsikiliza mgombea Urais huyo akisema.....!"

å Lengo la mwandishi ni ili kumfanya anayetazama TV ashangae hao watu wanaomsikiliza huyu mgombea wako wapi? Mbona ni mlima mtupu tu?

å Kwa mtazamo wangu, niwashauri CHADEMA kuwa, hakuna haja ya kuendelea kushirikiana na TBC kwenye kampeni zenu. Piga marufuku ripota wote wa TBC. Hawa ni maadui katika kambi yenu ya mapambano....

å Hawastahili kuambatana nanyi ktk mikutano yenu, hawana nia njema dhidi yenu, wako kwa ajili ya kufanya propaganda hasi dhidi mgombea wenu...

å Hawa watangazaji wa TBC ni aidha kwa kutojua au kwa makusudi kabisa na kwa "NIA OVU" dhidi ya CHADEMA na mgombea Urais Tundu Lissu wameamua kuwa unethical & unprofessional ktk tasnia ya habari. Kwanini mshirikiane na watu wa namna hii??

å Kwanini muendelee kuwa na waandishi au chombo cha habari cha namna hii chenye waandishi/watangazaji ambao unethical and unprofessional?

å Kwa hakika, uwepo wao kwenye kampeni zenu hauwaongezei chochote zaidi tu kwamba unawaharibia kwa kutoa picha hasi kwa wapiga kura dhidi ya kampeni na mgombea wenu....!

å Hamchachelewa kuchukua hatua kwa sababu BETTER LATE THAN NEVER...!!
TBC mbona waneripoti uhalisia au ww unaangalia 'edit' za YouTube😲!
TL Hana Cha kuwaambia watz zaidi ya matusi na kulalama tu! Yaani hata mkewe mbona anatia huruma Sana...naona huwa analalamikiwa mpaka Basi😂🤣😂!
 
Hata Millard ayo anafanya the same, namna anavyoandika kichwa cha habari za Lissu mtu timamu lazima ajiulize ninini shida ya Millard, i have nothing against Millard lakini aache huo ujinga wa kuripoti habari za TL kwa mtindo huo. Huyu ni media binafsi hatumlazimishi ila tunamuomba kama hajisikii kuripoti habari za TL aache!
Milladr ayo Ni CCM kwani hamkumuona kule ikulu chamwino mnadhani alifata Nini kule
 
Chadema wangekuwa wapo vizuri na media zao, wao ndiyo wangetaka kipi kirushwe na sio matakwa ya hao waandishi.

Maana sasa ni kampeni kila chama kinataka kipi kiwafikie wananchi.

Ama lah hizo ziwe zinakaguliwa na timu ya kampeni ya chadema ndiyo wazirushe.
 
Sisi waafrika akili zetu kuna wakati tunakua tumezikalia, hao TBC hawajui kwamba hizo njia wanazotumia kuwapaisha CCM ndio zinazozidi kuwapa wakati ngumu CCM.

Raia wanazidisha chuki kwao TBC na kwa CCM wenyewe, wanafikiri wakifanya hivyo ndio raia watawapenda?. Ukweli huwa haufichiki, na kadri unavyouficha ndio unajitia kitanzi zaidi.
Mkuu tatizo kubwa ni Watu Wenye Akili Timamu wamelazimika kumtumikia Mshamba Mmoja!
Angalau ugali upatikane!
 
å Leo tarehe 16/9/2020 nimejikuta natazama taarifa ya habari ya saa 2 usiku huu kwenye TV kupitia channel ya TBC.

å Taarifa ya kwanza ilikuwa ni kuripoti matukio ya kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka huu 2020 ya vyama tofauti tofauti.

å Wa kwanza kuripotiwa ni mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli akiwa Bukoba, Kagera. Ripota wa taarifa hii, akatumia back video yenye nyomi kweli kweli na hatua kwa hatua akadadavua ujumbe na tukio alilokusudia hadhira ijue kwa ufasaha kabisa...

å Baadaye ikafuata taarifa ya mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Antipas Lissu akiwa huko mkoa wa Songwe.

å Hapa ndo mtu utachoka na kucheka kuliko kawaida kwa sababu kilichiripotiwa ni tofauti kabisa na hali halisi ilivyokuwa ktk mikutano yote ya leo. Hapa ndo unaiona "NIA OVU" ya TBC TV...

å Wanachofanya TBC ni ili mradi tu habari ya CHADEMA na Tundu Lissu imeonekana kwenye TV yao ikiwa ni kwa shingo upande tu ya kujibu lawama wanazorushiwa za upendeleo wanaoufanya waziwazi kwa CCM na mgombea wao John Magufuli...

å Alichofanya ripota wa TBC kwenye mikutano ya Tundu Lissu si kuripoti kampeni bali ni kupotosha kwa kutumia negative TV broadcasting propaganda....

å Mfano "back up video" aliyotumia ripota wa leo kule Songwe ni ya kuchekesha kuliko kawaida kinyume kabisa na hali halisi....!

å Yaani badala ya kuonesha umati wa watu waliohudhuria mkutano, kwa makusudi kabisa mwandishi anaelekeza camera yake mlimani eneo tupu lisilo na watu huku kwenye ripoti yake akisema

"....wakimsikiliza mgombea Urais huyo akisema!"

å Lengo la mwandishi ni ili kumfanya anayetazama TV ashangae hao watu wanaomsikiliza huyu mgombea wako wapi? Mbona ni mlima mtupu tu?

å Kwa mtazamo wangu, niwashauri CHADEMA kuwa, hakuna haja ya kuendelea kushirikiana na TBC kwenye kampeni zenu. Piga marufuku ripota wote wa TBC. Hawa ni maadui katika kambi yenu ya mapambano.

å Hawastahili kuambatana nanyi ktk mikutano yenu, hawana nia njema dhidi yenu, wako kwa ajili ya kufanya propaganda hasi dhidi mgombea wenu.

å Hawa watangazaji wa TBC ni aidha kwa kutojua au kwa makusudi kabisa na kwa "NIA OVU" dhidi ya CHADEMA na mgombea Urais Tundu Lissu wameamua kuwa unethical & unprofessional ktk tasnia ya habari. Kwanini mshirikiane na watu wa namna hii??

å Kwanini muendelee kuwa na waandishi au chombo cha habari cha namna hii chenye waandishi/watangazaji ambao unethical and unprofessional?

å Kwa hakika, uwepo wao kwenye kampeni zenu hauwaongezei chochote zaidi tu kwamba unawaharibia kwa kutoa picha hasi kwa wapiga kura dhidi ya kampeni na mgombea wenu!

å Hamchachelewa kuchukua hatua kwa sababu BETTER LATE THAN NEVER!
Washauri waanzishe TV yao ili irushe matukio yao km wapendavyo. Malalamishi bila suluhisho ni kumaliza chaji ya cm. Wasingekuwa wachumia tumbo kwa kipindi walichoanza wasingeshindwa kuwa na tv
 
Hata Millard ayo anafanya the same, namna anavyoandika kichwa cha habari za Lissu mtu timamu lazima ajiulize ninini shida ya Millard, i have nothing against Millard lakini aache huo ujinga wa kuripoti habari za TL kwa mtindo huo. Huyu ni media binafsi hatumlazimishi ila tunamuomba kama hajisikii kuripoti habari za TL aache!

Kunapokaribia kupambazuka siku zote mapambano huwa makali sana.
Wanapenda kuonesha lakini hawapo salama tusiwalaumu.
Sisi wajanja tunatizama kwenye instagrams au tweeter au YouTube kwahiyo hayo yasiwatishe sana . Alafu tunashare na watu clips zinasambaa balaa
 
Chadema watu hakuna kwenye mikutano ata nyie wenyewe mnalijua hilo ndio maana kutwa kupost video na picha za ccm.lakini ata hivyo si uwa hamtazami TBCccm leo imekuwaje
Ni kweli huwa hatuwaangalii, lkn kwa sasa tunafanya monitoring, sio kuwa tunawaangalia kwa sababu tunawapenda
 
Back
Top Bottom