ONG'WASAMBA-Busega
Member
- May 20, 2014
- 31
- 8
Vijana 89 kutoka tawi la SAUT Tabora wamehama CHADEMA,mbele ya katibu mkuu wa CCM taifa KINANA,Vijana hao walirudisha kadi zao na kukabiziwa kadi za chama makini tawala CCM na katibu mkuu Kinana katika mkutano wa hadhara hapa Tabora Mjini Jumapili iliyopita.Hii ni ishara ya mwisho wa CHADEMA.
Nawasilisha
UPDATE
Ukwel ndo huu anatuka atukane anaebisha abishe 89 wameha CHADEMA.
Najua hizo kelele cha chura kwa tembo. Nyie ni sawa na wana wapotevu wanao saka maisha kwa kujaribu. Najua one day mtarejea home kama hawa majembe walio jua ukwel wamerud home,lakin ukwel ndo huo uliowekwa hapo juu,anaebisha fika ofisi za CCM wilaya unayataku majina ya wanachama wapya walio jiunga Siku ya Jumapili.
Nawasilisha
UPDATE
Ukwel ndo huu anatuka atukane anaebisha abishe 89 wameha CHADEMA.
Najua hizo kelele cha chura kwa tembo. Nyie ni sawa na wana wapotevu wanao saka maisha kwa kujaribu. Najua one day mtarejea home kama hawa majembe walio jua ukwel wamerud home,lakin ukwel ndo huo uliowekwa hapo juu,anaebisha fika ofisi za CCM wilaya unayataku majina ya wanachama wapya walio jiunga Siku ya Jumapili.