CHADEMA tambueni Tanzania ni dola huru, Marekani haina mamlaka kutetea uhalifu wa wanasiasa kama Mbowe

Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.

Kwani SSH, Mulamula, au Sirro wanasema je?
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Na nyie tambuaeni chadema ni chama siasa na Kiko kihalali nchini wew unataka utendewe mazuri na wew tenda mazuri vinginevyo usitegemee kutendewa kinyume na unavyotenda...ndio formula ya ulimwengu
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Kama ni gaidi afungwe tu,na funguo zitupwe baharini,Cha muhimu wekeni ushahidi hadharani.
Mkimalizana na Mbowe,muwatafute wale magaidi maarufu "watu wasiojurikana"waliomtwanga Mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano risasi 19!mchana kweupee,na hivi mnaonaje adhabu yao iwe ni "kuwagonga"(kwa kutumia maneno ya afande Siro wakati Wana fanya extra judicial killing kule kibiti)
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Wewe mtoto wa mbwa, Kama Tanzania ni nchi huru, mbona mmejaa uombaomba mbwa koko nyie
 
Chadema wanajua sana wanacho kifanya.
ila hawa jamaa nia yao ni kuichafua Tanzania kwa mataifa mengine kwa kisingizio cha demokrasia lkn nia yao ni kuvunja amani, wanatumiwa na maadui kuivuruga Tz, wanajua wanacho kifanya, hawana tofauti na WASALITI/VIBARAKA.
Kama Taifa imara viongozi wetu wanapaswa wawe makini kamwe wasiachie hawa wahuni wachache kuharibu taswira ya Taifa letu.
Wewe fisi,ivamieni nchi ambayo inawatuma CHADEMA kuchafua amani ya Tanzania.
Juha wewe.....
 
Ignorance is bliss. Dola huru unategemea misaada ya watu? Hata wanaojitegemea hawana uhuru wa kuwatesa watu wao.
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Wanao onewa nchini hawana uchaguzi mwingine zaidi ya kutumia nao jeshi la nchi nyingine mana lao lipo kinyume nao.
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Mshenzi mkubwa weee!
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Taifa huru ndiyo kuwabambikia kesi wapinzani Uhuru ni kuwanyanyasa wapinzani
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Sina hakika kama chadema pekee Yao ndio wanafanya uhalifu. Sijawahi kusikia ccm au vyama vingine vimekamatwa ukiachana na cdm
 
Chadema wanajua sana wanacho kifanya.
ila hawa jamaa nia yao ni kuichafua Tanzania kwa mataifa mengine kwa kisingizio cha demokrasia lkn nia yao ni kuvunja amani, wanatumiwa na maadui kuivuruga Tz, wanajua wanacho kifanya, hawana tofauti na WASALITI/VIBARAKA.
Kama Taifa imara viongozi wetu wanapaswa wawe makini kamwe wasiachie hawa wahuni wachache kuharibu taswira ya Taifa letu.
Na wewe unajua unachokifanya pia.
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
 
Chadema wanajua sana wanacho kifanya.

ila hawa jamaa nia yao ni kuichafua Tanzania kwa mataifa mengine kwa kisingizio cha demokrasia lkn nia yao ni kuvunja amani, wanatumiwa na maadui kuivuruga Tz, wanajua wanacho kifanya, hawana tofauti na WASALITI/VIBARAKA.

Kama Taifa imara viongozi wetu wanapaswa wawe makini kamwe wasiachie hawa wahuni wachache kuharibu taswira ya Taifa letu.
Nina uhakika una dhiki na fukara sana wa maisha wewe. Hapo ulipo sidhani kama una kazi ya maana.
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
 
Kuna mke wa kiongozi aliye fikia kiwango cha Mke wa Dr. Slaa mama Mushumbuzi?
uliwahi kumuona mke wa Mbowe anakamatwa na polisi na kulala rumande?
uliwahi kumuona mke wa Mnyika au Mrema au Kibatala anakamatwa?! jiongeze wewe acha kupoteza mwelekeo wa maisha yako. nenda katafute acha wahangaike wenye uhakika.
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Uhuru una mipaka na hiyo mipaka inasimamiwa na USA under UN charter,ndio maana waziri wetu wa mambo ya nje kakiri kuwa hatuna uwezo wa kuzuia mazungumzo ya USA na wapinzani hasa CHADEMA.

Nzuri ni kuwa sasa dunia inajua siri za ushindi haramu na wizi wa CCM unatokana na katiba mbovu,na CHADEMA ipige hapo hapo kwenye katiba mpya,piga panapouma ndipo utaua adui.

Ni mkakati wa dunia ya wastaarabu kuwa CCM iondoke sasa madarakani maana ni adui wa democracy na dunia ya wastaarabu.
 
Back
Top Bottom