Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
inasikitisha sana KamandaWanaokiri hadhrani kutoa rushwa wanapeta mitaani alafu kuna mijitu kutwa kuimba nyimbo za mapambio kumsifu bwana fulani.
Wapo juu ya sheria mkuuWanaokiri hadhrani kutoa rushwa wanapeta mitaani alafu kuna mijitu kutwa kuimba nyimbo za mapambio kumsifu bwana fulani.
Nawewe uliamini?Kamanda wa kanda maalumu ya Dar alisema hataki kusikia maagizo kutoka juu leo imekuwaje tena?
Wa ajabu kweli wewe!Maelezo meeengi mwisho tunaambiwa chama kimeagiza wanasheria wafungue Habea Corpus!
Chadema hakuna tena matamko ya kutetemesha na kufikirisha nchi,kila tamko ni la kulialia na mambo ya polisi kama sinema ya kihindi haikosi polisi kwenye maudhui.
Ukitaka kuona chadema ni chama cha kisanii angalia mtu wao akidakwa na polisi,hivi kuna wananchi wangapi wapo polisi zaidi ya wiki bila ya kupelekwa mahakamani,mbona chadema wanaojidai wana uchungu hawawatolei matamko na kuelekeza wanasheria wao wachukue hatua
Kukaa mahabusu ni haki pia...Haki itendeke.