Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Tumaini Makene naona anamuiga Msigwa...........bandiko lake lote anamcopy Msigwa
Tumaini Makene naona anamuiga Msigwa...........bandiko lake lote anamcopy Msigwa
Hadi signature !!!!Tumaini Makene naona anamuiga Msigwa...........bandiko lake lote anamcopy Msigwa
Ww ni jitu fulan jinga usiyejielewa,yani mtu unakua kipofu wa fikra na macho???mwwehMaelezo meeengi mwisho tunaambiwa chama kimeagiza wanasheria wafungue Habea Corpus!
Chadema hakuna tena matamko ya kutetemesha na kufikirisha nchi,kila tamko ni la kulialia na mambo ya polisi kama sinema ya kihindi haikosi polisi kwenye maudhui.
Ukitaka kuona chadema ni chama cha kisanii angalia mtu wao akidakwa na polisi,hivi kuna wananchi wangapi wapo polisi zaidi ya wiki bila ya kupelekwa mahakamani,mbona chadema wanaojidai wana uchungu hawawatolei matamko na kuelekeza wanasheria wao wachukue hatua
Kwa sababu sio tasisi huru inayojitegemea IPO chini ya dola na ccm ndo dola.Kwa nini Polisi wanafanya kazi kisiasa kiasi hichi??
Una elimu gani wewe? Au ni wale wale mapimbi?Mkuu wa operesheni na mafunzo anashindwa kufanya operesheni ndogo na kutoka sentro
Una elimu gani wewe? Au ni wale wale nguruwe?Maelezo meeengi mwisho tunaambiwa chama kimeagiza wanasheria wafungue Habea Corpus!
Chadema hakuna tena matamko ya kutetemesha na kufikirisha nchi,kila tamko ni la kulialia na mambo ya polisi kama sinema ya kihindi haikosi polisi kwenye maudhui.
Ukitaka kuona chadema ni chama cha kisanii angalia mtu wao akidakwa na polisi,hivi kuna wananchi wangapi wapo polisi zaidi ya wiki bila ya kupelekwa mahakamani,mbona chadema wanaojidai wana uchungu hawawatolei matamko na kuelekeza wanasheria wao wachukue hatua
Kati yake na ww nani pimbi sasa?!Una elimu gani wewe? Au ni wale wale mapimbi?
Kufa ndg mgeni!Namchukia sana mheshimiwa
Haya mambo mpaka yanatia kichefuchefu kwa kweli. utawala wa sheria umezikwa kwa matakwa ya watu wachache waliolewa madaraka na kujifanya miungu watu. Very sad!Haki itendeke.
Tumaini Makene naona anamuiga Msigwa...........bandiko lake lote anamcopy Msigwa