CHADEMA: Taarifa kwa vyombo vya habari juu ya mambo yanayoendelea katika uchaguzi wa serikali za mitaa

CCM wangetamani CHADEMA isishiriki uchaguzi, lakini wanaumia kuona jamaa nao wamekomaa tu.

Hawaelewi jamaa wanataka nini, licha ya kufahamu figisu zote wanazowafanyia wangetegemea CHADEMA wangesusa, lakini CHADEMA wapo tu, wanataka wauone mwisho, hata wanapopigwa na kuumizwa, CHADEMA wapo tu.

CCM hapo mmekutana na kiboko yenu, kwa wingi wenu, mkijumuisha vyombo vya dola, tume ya uchaguzi, tamisemi hadi rais lakini CHADEMA wanawatoa kamasi.

Wamebaki na turufu moja tu, KUIFUTA CHADEMA, na hili ndilo ccm wanalitengeneza lakini wanashangaa halitimii.
Wamempa mamlaka msajili ya kukifuta chama chochote lakini hawaelewi kwanini hafanyi hivyo kwa CHADEMA sitoshangaa naye tukiambiwa anastaafu kesho, na ateuliwe yule hakimu maarufu.
 
Tuliwaambia msishiriki huu uchaguzi uwanja si sawa hamkusikia, sasa mmeanza kulialia kutoshiriki ni bora kabisa kwa sababu ukishiriki wakati unajua kuna figisu na maagizo yapo wagombea wa upinzani wasitangazwe Washindi maana yake ni kuubariki uchaguzi haramu uonekane halali, hivi Chadema na upinzani kwa ujumla msiposhiriki huu uchaguzi mnapungukiwa nini hasa zaidi ya faida kwenu kwenye Uchaguzi Mkuu 2020 na kimataifa.
 
Chadema msituletee ujinga wenu, taken I huko, nani aliwaambia mshiriki uchaguzi, tena mstujazie hizi social media zetu na matamko yenu ya kulia lia hapa. Jitoeni, yaani unajua kabsa hakuna usawa kwenye jambo alafu unashiriki then unakuja kutafuta huruma huku. Mnanikera, mnatengeneza tu hela zenu za kula.....jitoeni huu uwanja hamuwezi kuchezea.

Niacheni nipunzike nimechoka malalamiko yenu (nimeshawatukana matusi mengi sana )
 
Back
Top Bottom