martin nyari
Member
- Jan 9, 2014
- 45
- 12
Wadau chadema ni chama cha wanachama wote ila katika hali isiyoy ya kawaida Mbowe Kama mwenyekiti wa taifa akuunganisha chama kwenye ndoa ambayo kaamua mwenyewe bila vikao halali vya chama
Cuf kabla ya kuubariki UKAWA walifanya kikao cha baraza kuu wakatoa tamko la chama taifa
Chadema wapi kikao kilikaa kikaridhia kuunganisha cuf na chadema wakati inaeleweka wazi kua cuf na Ccm ni nyumba moja familia
Mbowe umeamua kuiua chadema kwa ajili ya taamaa za fedha ??
Mbona juzi kati kamati kuu ilikuwa inakaa kila siku wakati mkimwazimia zitto mlipo fanikiwa vikao navyo vimekoma kabisa
Mbowe tuitie baraza kuu tuje kujadili ualali wa ukawa na maendeleo ya chama laasivyo tutaita wenyewe
Wenye kuchangia karibuni Sana wenye kubeza pia karibuni
Cuf kabla ya kuubariki UKAWA walifanya kikao cha baraza kuu wakatoa tamko la chama taifa
Chadema wapi kikao kilikaa kikaridhia kuunganisha cuf na chadema wakati inaeleweka wazi kua cuf na Ccm ni nyumba moja familia
Mbowe umeamua kuiua chadema kwa ajili ya taamaa za fedha ??
Mbona juzi kati kamati kuu ilikuwa inakaa kila siku wakati mkimwazimia zitto mlipo fanikiwa vikao navyo vimekoma kabisa
Mbowe tuitie baraza kuu tuje kujadili ualali wa ukawa na maendeleo ya chama laasivyo tutaita wenyewe
Wenye kuchangia karibuni Sana wenye kubeza pia karibuni