Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,674
- 2,349
CHADEMA sio chama kikuu cha upinzani hakiko serikalini iwe ya muungano au ya Zanzibar
Tanzania ina nchi mbili Tanzania bara na Zanzibar.
CHADEMA hakipo serikalini popote hata bungeni wanasema hakuna wabunge Chadema wenyewe
Sasa kama bungeni unasema wabunge huna Serikali ya Umoja wa kitaifa Zanzibar humo hizo kelele za kusema wewe chama kikuu cha upinzani wapi labda?
At least AcT wazalendo waweza sema kuwa chama kikuu cha upinzani sababu wametoa makamu wa Raisi Zanzibar
Nashauri Serikali iwe inawasiliana na chama kikuu cha upinzani cha ACT wazalendo
Tanganyika iliyopewa jina la Tanzania bado haiko huru, Hao Chadema ni wapigania uhuru ambao uliporwa Na genge la majambaziy likiongozwa Na Laanatullahi Nyerere