adil_abdallah
Member
- Mar 23, 2012
- 62
- 10
wazungu wanasema "they are playing hard to get"..walikuja wengi tu kama tlp,cuf,nccr mageuzi.....sasa leo watanzania tunafikiri chadema ndo chama chenye uchungu na nchi..hivi ukimkaribisha nyumbani mtu alie toka kula muda sio mrefu na mtu ambae hajawai kukaa mezani kula yeye kazoea kuokota okota mitaani nani atakula zaidi???