mola ibariki cdm,
ibariki tanzania .
ameeeen...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mola ibariki cdm,
ibariki tanzania .
He he hee!... lakini juzi tu hapa, Rais Jakaya Kikwete alisema kuwa mtu ambaye hawezi siasa aache, akae kando akalime, mimi nadhani huyu anatekeleza kauli ya Rais," ...
hata mimi kamanda wangu nimeshaanza kukata tamaa... Hivi kuna tatizo gani zitto kugombea uenyekiti..kama anajiamini angemuacha tu dogo wapambane kwenye masanduku ya kura
mwendo ndo huo, mpaka CHADEMA KASKAZ na vibaraka wao wapate fundisho!
CDM tuendako si kwenyewe. Mungu ampe hekima Mbowe ili isiwe chanzo cha cha CDM kuwa historia. Tumeshapoteza focus, badala ya kusonga mbele tumeanza malumbano na kuonana wabaya. Tusiendelee kuchemsha zaidi wana chadema.
mwendo ndo huo, mpaka CHADEMA KASKAZ na vibaraka wao wapate fundisho!
amewahi lini kugombea peke yake?
Mbona mtindo huo umekomaaa ccm na hamsemi?
Kweli nyani haoni kundule lake
kujaribu kuiua CDM ni sawa na kugonga kwenzi mkuki!kuzuia kifo na mazishi ya chadema ni sawa kabisa kabisa na kuzuia mafuriko kwa viganja vya mikono
Mwanachama wa chama akikiuka taratibu na kuandika waraka wa kukigawa chama wewe utamuona 'mzuri'..??
Mwanachama huyo-huyo anajua kabisa taratibu za kufuatwa, ila makusudi anaandika waraka kinyume cha taratibu..!!
Kwako wewe utamuona 'mzuri' tu, hana tatizo..!!!!
Nani kakuambia Mbowe anagombea peke yake??Lakini tuangalie na upande wa pili je ni halali mbowe kugombea peke yake ili apite bila kupingwa???
Mwanachama wa chama akikiuka taratibu na kuandika waraka wa kukigawa chama wewe utamuona 'mzuri'..??
Mwanachama huyo-huyo anajua kabisa taratibu za kufuatwa, ila makusudi anaandika waraka kinyume cha taratibu..!!
Kwako wewe utamuona 'mzuri' tu, hana tatizo..!!!!