CHADEMA SINGIDA magharibi YAPATA PIGO, YAKIMBIWA NA KIONGOZI WAKE

Status
Not open for further replies.
Taarifa hizi mwaka huu zimekuwa nyingi, bado kusikia Mnyika, Zitto na Lissu kuhama tu. CHADEMA hemu jichunguzeni mmjue tatizo nini linalo fanya viongozi wana kimbia hivyo.
tatizo ni viongozi wa chama hicho kutembea na sumu hadi bar, kupanga mipango ya kulisha watu sumu, kuwateka na kuwatesa na baya zaidi ni hili la kiliberali ambapo chama kina urafiki navyo huku vinatetea ushoga na usagaji
 
na bado watakunya tu we waache na campeni zao za humu jf wenzao wakiturudishia magamba yetu kiulaiini he he he:heh:
 
Makapi kama haya ni bora yakaondoka mapema kabla ya kuanza kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa hapo mwakani.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
heshima kwako mkuu mamuya....umeponea chaupuchupu kwenye sakata la masalia...sumu unayoweka mfukoni ilikusaidia sana...
 
tatizo ni viongozi wa chama hicho kutembea na sumu hadi bar, kupanga mipango ya kulisha watu sumu, kuwateka na kuwatesa na baya zaidi ni hili la kiliberali ambapo chama kina urafiki navyo huku vinatetea ushoga na usagaji
hawa jamaa watachomoka tu kwa kuwa wote wanauchu na madaraka kila mtu muda ukifika atajua pa kujiweka aweze kuendelea kupata mkate wake wa kila siku
 
Viongozi wa chadema ngazi za chini wengi ni dhaifu na ni rahisi kununulika. Chadema wajitaidi kuwapa elimu ya uraia na nini lengo la chadema katika kuikomboa Tz!
 
tulia dawa iingie vizuri weweeee!!!!!!! bado mwenyekiti wenu wa taifa mr DJ atachukua kadi ya kijani mda sio mrefu
Miaka hamsini ujmlisha Tanu na CCM bado hawajitambui,yaani kwa kuishiwa sera na mvuto wakimpata mtu kutoka Chadema ni sikuu siku saba kama Enzi za waflme kunywa na kunya kwa mtu mmoja na pengine anakuwa amefukuzwa ,masalia munaona ni dili kweli MACCM kweshney
 
Ihanja; Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), kimepata pigo kubwa katika kampeni zake za kutetea kiti cha udiwani wa Kata ya Iseke, Singida Magharibi, baada ya Katibu wake wa Kata, Francis Antoni, kujiuzulu juzi na kurejea CCM, kitendo kilichokichanganya kabisa chama hicho.

Pamoja na kurejea CCM, Antoni alimkabidhi Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Steven Wasira, zaidi ya kadi 350 za Chadema. Antoni alirejea CCM juzi wakati wa mkutano wa hadhara wa kuzindua rasmi kampeni za CCM katika kugombea nafasi ya udiwani wa Kata ya
Iseke, wilayani Ikungi. Aliahidi kumpigia debe mgombe wa CCM Amos Mughenyi, ili aweze kushinda kwa kishindo.

Alisema badala ya kuhimiza maendeleo CHADEMA kimejikita zaidi katika kupandikiza chuki, vurugu na maandamano yasiyokuwa na tija yo yote. Kwa upande wake, Wasira alisema kila Mtanzania sasa ametambua kuwa CHADEMA haina sera za kuwaendeleza watu na badala yake inataka kupandikiza fujo, vurugu, matusi na uchochezi.

source mkutano wa hadhara kata ya iseke na google group.

Kwenda huko na hizi pumba zako.
 
chama gani kila mtu anamatusi kuanzia mwenyekiti mpaka bavicha.
Kimoja tu CCM hata mwenyekiti wa chama hicho kasau kuwa yeye ni Raisi kwa maana hiyo wananchi wote ni wake lakini matusi yamemjaa mdomoni yanamtoka utafikiri hana mate
 
tulia dawa iingie vizuri weweeee!!!!!!! bado mwenyekiti wenu wa taifa mr DJ atachukua kadi ya kijani mda sio mrefu

Kumbe huwa mna hiyo ndoto? we mwenyewe baada ya kufukuzwa mbona uling`ang`ania na kulia umeonewa?
 
baada ya Katibu wake wa Kata, Francis Antoni, kujiuzulu juzi na kurejea CCM

CDM hakuna katibu Kata
 
samahani kwa wana singida lakini niseme tu wazi mkoa wenu utaendelea kubaki nyuma kimaendeleo ikiwa mtaandelea kuwa misukule ya ccm, maana mtaji wa ccm ni mkubwa wa cccm ni ujinga wa subjects wake, hivi mna nini cha kujivunia hata mwendelee kuikumbatia ccm hata baada ya miaka 50 ya uduni wa kimaendeleo, wabunge wenu wanaowadanganya eti sgda ni tajiri kwa vile mna kuku wengi wanawadanganya.woke up pepole
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom