MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Wana CHADEMA mmepatwa na baridi ghafla kutokana na CCM kuja na HOJA MAKINI KWA WANANCHI. Wana mikakati maarufu wa CCM walikaa chini wakati nyie mukibwabwaja na kuja na pendekezo nzuri kupitia CC. Masaa 48 hayajatimia tangu tamko lisomwe na Bw. Nape, kimbunga chake ni HATARI, uongozi wa CHADEMA umeduwaa hawajuwi paa kuanzia hoja yao ya kuendesha maandamano nchi nzima. UPEPO UMEBADILIKA, jahazi la CHADEMA limekosa uelekeo