Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
- Thread starter
- #101
Wengi waliipenda CDM ilipokuwa ikipambania wananchi. Mfano jinsi ilivyopambania ufisadi. Hii ya leo inapambana tu kuingia madarakani.Ni maajabu muandika rhetorics kupitia phone keypads combinations anajaribu ku-assassinate group la wananchi walioandikishwa rasmi na kadi milioni 7 ambapo wapenzi ambao hawajaandikishwa hua ni mara mbili ya waliandikishwa making it 7+7x2=21,yaani watu milioni 21 sio wananchi?
Yaani nusu ya population ya Tanzania wanaipenda Chadema,hao si wananchi ni vyenge?According to who?