- Thread starter
- #21
WATANABE wazo lako ni nzuri sana hata mimi nakuunga mkono! Tatizo lako ni kuwa hujui vyama gani vya kisiasa unavyosema. Je CUF TLP au UDP? Angalia history yao na viongozi wake utapat jibu. Vyama vyote hivyo ni pro-CCM! CHADEMA hakitokaa na wanafki!
Usisahau kuwa ilipo Chadema leo iliwahi kuwepo NCCR ikashindwa kutumia nafasi hiyo, ikaja CUF ikashindwa kutumia nafasi to win the hearts and minds of majority of Tanzanians who do not vote. Kama kuwa Pro-CCM kunapimwa kwa kusifia mazuri yaliyofanywa na CCM basi hata Chadema ni Pro CCM kwa kuwa Mwenyekiti wake juzi juiz alinukuliwa akimwita JK mchapakazi. Dr Slaa hivi karibuni alinukuliwa akimsifia JK kwa kuborehs sekta ya afya wakati anafungua jambo fulani pale CCBRT ambapo Dr Slaa ni mwasisi wake.
In that sense we have no opposition in this country kama kusifia jambo zuri la chama tawala ni kuwa Pro-CCM, hiyo ni dalili za watu wasiokomaa kisiasa na kupevuka kiakili. Kama hamkusikia wala kuona ingia kwenye youtube hapo chini
Freeman Mbowe alipomfagilia JK kwa juhudi zake za kuendeleza miundombinu Tanzania - YouTube
KAMA KUSHIKANA MIKONO NA VIONGOZI WA CCM NI KUWA PRO CCM BASI WOTE WALIOKUNYWA JUICE IKULU NA TOKEA HAPO NI KUMMWAGIA JK ,ISIFA TU NDIO PRO CCM WA KWANZA