CHADEMA Shinyanga wamkalia kooni Mbunge wa Solwa SALAMU HAMED

Jiwejeusi

JF-Expert Member
May 3, 2011
754
131
Nuru haiwezi kuchanganyika na giza. Palipo na nuru giza hutoweka. Nguvu ya chadema sasa imetawala hadi jimboni SOLWA, ambapo kulionekana kama kambi ya ccm. Jana makamanda wa chadema shinyanga walifanya ziara ktk jimbo hilo na kufanikiwa kumnasa mwenyekiti wa kijiji cha Shilabela ambaye alirudisha kadi hadi mihuri ya serikali. Pipos power.
 
Nuru haiwezi kuchanganyika na giza. Palipo na nuru giza hutoweka. Nguvu ya chadema sasa imetawala hadi jimboni SOLWA, ambapo kulionekana kama kambi ya ccm. Jana makamanda wa chadema shinyanga walifanya ziara ktk jimbo hilo na kufanikiwa kumnasa mwenyekiti wa kijiji cha Shilabela ambaye alirudisha kadi hadi mihuri ya serikali. Pipos power.

Mapambano yaendelee mpaka kieleweke...hakuna kulala!!
 
That nice i like that, i wish they will continue to other areas which their development are hindered by ccm leaders who do nothing for five years or more but believing they are able to corrupt voters during campaign.
 
Nuru haiwezi kuchanganyika na giza. Palipo na nuru giza hutoweka. Nguvu ya chadema sasa imetawala hadi jimboni SOLWA, ambapo kulionekana kama kambi ya ccm. Jana makamanda wa chadema shinyanga walifanya ziara ktk jimbo hilo na kufanikiwa kumnasa mwenyekiti wa kijiji cha Shilabela ambaye alirudisha kadi hadi mihuri ya serikali. Pipos power.
Mtoa mada ni bora hao jamaa wanaohamia CDM wakajua kuwa mwanaCDM siyo kwamba ndiyo kama umeingia peponi vile, wakumbushe mtu akikata shauri na kumpokea Kristo na kumfanya awe Bwana na Mwokozi wake basi siyo kama ameshinda bali ametangaza vita dhidi ya muovu Ibilisi. Hivyo hivyo basi ukihamia upinzani ujue ndiyo umetangaza vita na siyo lelemama.
 
Wasukuma sasa wanaamka, maana magamba walizoea siasa uchwara zao za kusema CDM chama cha kanda ya kaskazini. Watatia akili ifikapo 2015.
 
Bakwata watatoa tamko kwamba chadema wanaandama jimbo la mbunge muislam.

we masaburi dhambi ya udini itakutafuna hadi siku unaenda kaburini wewe!yani unaonyesha mapungufu yako apa waziwazi!huna hata subira na uwezo wa kuweka vitu kifuani.wewe ni kenge mkubwa!mdini mbwa wewe...badilika kifaranga wewe.
 
we masaburi dhambi ya udini itakutafuna hadi siku unaenda kaburini wewe!yani unaonyesha mapungufu yako apa waziwazi!huna hata subira na uwezo wa kuweka vitu kifuani.wewe ni kenge mkubwa!mdini mbwa wewe...badilika kifaranga wewe.
Ulitaka kufanana na wake makuli wa bandarini kidogo,
 
we masaburi dhambi ya udini itakutafuna hadi siku unaenda kaburini wewe!yani unaonyesha mapungufu yako apa waziwazi!huna hata subira na uwezo wa kuweka vitu kifuani.wewe ni kenge mkubwa!mdini mbwa wewe...badilika kifaranga wewe.

imekuumaeee! Vipi yule mkuu wa wilaya ya Igunga aliyeolewa na mkatoliki mfuga nguruwe hajambo?
 
we masaburi dhambi ya udini itakutafuna hadi siku unaenda kaburini wewe!yani unaonyesha mapungufu yako apa waziwazi!huna hata subira na uwezo wa kuweka vitu kifuani.wewe ni kenge mkubwa!mdini mbwa wewe...badilika kifaranga wewe.

punguza jazba kaka kwan BAR-KWATA bado hawajatoa tamko tuu... Ngoja 2subir habari ya za saa moja 2one...
 
Hao ndio magwanda, halafu huu sio udini. Wala sikushangai kabisa tuliyaona siku nyingi sana haya.

kwel kaka hata mimi niliyaona mda mrefu, alianzisha mwenyekiti wa mpito wa chama... Juz kati nkasikia BAR-KWATA tawi la chama maeneo ya Igunga wakaja na utetez wa mfuga ngurue...
 
Nuru haiwezi kuchanganyika na giza. Palipo na nuru giza hutoweka. Nguvu ya chadema sasa imetawala hadi jimboni SOLWA, ambapo kulionekana kama kambi ya ccm. Jana makamanda wa chadema shinyanga walifanya ziara ktk jimbo hilo na kufanikiwa kumnasa mwenyekiti wa kijiji cha Shilabela ambaye alirudisha kadi hadi mihuri ya serikali. Pipos power.
Hivi hii Kahama ina nini?wabunge wa shinyanga wajitahidi kufanya mikutano ili kuliteka na jimbo hili la mheshimiwa Lembeli ingawaje ni kubwa sana lakini kwa vuguvugu hili Kahama isipitwe kabisa nikuweka kambi kabisa.
 
Hivi hii Kahama ina nini?wabunge wa shinyanga wajitahidi kufanya mikutano ili kuliteka na jimbo hili la mheshimiwa Lembeli ingawaje ni kubwa sana lakini kwa vuguvugu hili Kahama isipitwe kabisa nikuweka kambi kabisa.

Mkuu Lembeli akiwa Kahama anawachana vilivyo Magamba. Ndiyo silaha anayotumia. Yaani speech zake Nepi akizipata atamvua uanachama
 
Hao ndio magwanda, halafu huu sio udini. Wala sikushangai kabisa tuliyaona siku nyingi sana haya.

Faiza Bakwata wanalia lia kila kona aliko chadema sasa leo mtu kusema anaho kitegemea kuna udini ? Hebu toka nje ya box kajibu hoja za kwa nini JK hatembelewi hadi akalipie ndiyo watu kama Bush waje hapa .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom