Jiwejeusi
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 754
- 131
Nuru haiwezi kuchanganyika na giza. Palipo na nuru giza hutoweka. Nguvu ya chadema sasa imetawala hadi jimboni SOLWA, ambapo kulionekana kama kambi ya ccm. Jana makamanda wa chadema shinyanga walifanya ziara ktk jimbo hilo na kufanikiwa kumnasa mwenyekiti wa kijiji cha Shilabela ambaye alirudisha kadi hadi mihuri ya serikali. Pipos power.