More Tiz
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 2,232
- 426
Mwaka 2004 uchaguzi wa serukali za mitaa katika kata ya Vingunguti CUF ilishinda kwa kutimia mbini hii.
1. Tulihamasishana vijana, yaani kila kijana alihakikisha ana vijana wenzie watano atakaowashawishi na kuhakikisha wanapiga kura.
2. Kulinda kura mpaka matokeo yangazwe. Nakumbuka tulikaa siku 3 kiembe samaki sokoni tukilinda kura na CCM walioshindwa waligoma hata kusaini mpaka alipotoa amri Makamba enzi hizo akiwa mkuu wa mkoa.
3. Kumuweka kitimoto mgombea. Mgombea wetu wa CUF alikuwa ni mchoma mahindi hivyo CCM walikuja na hoja zao kwa kumpa achague mawili. Mosi akubali hongo ya milioni 12 na akubali matokeo yapinduliwe na akigoma Watamuuwa. Vijana tulilichukua hilo nasi tukamwambia sisi tutakulinda na kama utachukua hizo fedha tambua kuwa sisi tutakuuwa kwa mawe wewe na mawakala walioko humo ndani. Hivyo utachagua tukulinde sisi au uchukue fedha ambazo ni uhalisia hautotumia hata shilingi moja. Alikubali tumlinde, nasi tukalibeba jukumu na ulinzi ulianzia kwenye eneo husika kuwa asiyehusika haruhusiwi kuingia ofisini ziliko kura, chakula na maji yake na mawakala tulikinunua sisi yaani hata mke wake hatukumruhusu kumletea tukihof watamuwekea sumu, then akitaka kwenda chooni tulikagua kwanza eneo na kulizunguka kwa ulinzi. Nasi pia tulitika kwa zamu kwenda kutafuta chakula.
3) FFU zilifika gari 5 katika kituo chetu ili kututisha lakini sisi tuliendelea kuwa watulivu huku tukijua nini tunakifanya.
4) hatukuruhusu sura zisizojulikana kupiga kura, kwa ajili ya kuzuia mamluki.
5) baada ya kutangazwa mshindi mgombea wetu tuliendelea kumlinda kwa siku 7 huku tukichangishana fedha ya yeye kujikimu asijedhuriwa na wapenda madaraka.
6) mbinu hii tuliungana kata nzima ili kuwa na vituo vingi ili kuongeza nguvu kwamba wakichakachua sehemu moja tunaitana na kumalizana eneo la tukio na si kupelekana polisi.
KWA UFUPI HIZO NDIZO MBINU ZILIZOTUMIKA KUNYAKUA USHINDI WA CUF KATA YA VINGUNGUTI.
HIVYO NADHANI NI JAMBO LA BUSARA WANACHADEMA KUSHIRIKIANA NA KUHAKIKISHA WAGOMBEA WETU HAWARUBUNIWI IKIWEZEKANA HATA KULALA NAO KTK MAKUNDI NA KUSHINDA NAO.
KAZI KWENU MAKAMANDA - MIMI KTK KIJIJI CHANGU NA VITONGOJI VYAKE NINAUHAKIKA TUNASHINDA KWANI TULISHAJIPANGA KITAMBO NA HAHONGWI MGOMBEA YEYOTE.
PAMOJA DAIMA
Karibu Mohamed mtoi, makene,mpk,
1. Tulihamasishana vijana, yaani kila kijana alihakikisha ana vijana wenzie watano atakaowashawishi na kuhakikisha wanapiga kura.
2. Kulinda kura mpaka matokeo yangazwe. Nakumbuka tulikaa siku 3 kiembe samaki sokoni tukilinda kura na CCM walioshindwa waligoma hata kusaini mpaka alipotoa amri Makamba enzi hizo akiwa mkuu wa mkoa.
3. Kumuweka kitimoto mgombea. Mgombea wetu wa CUF alikuwa ni mchoma mahindi hivyo CCM walikuja na hoja zao kwa kumpa achague mawili. Mosi akubali hongo ya milioni 12 na akubali matokeo yapinduliwe na akigoma Watamuuwa. Vijana tulilichukua hilo nasi tukamwambia sisi tutakulinda na kama utachukua hizo fedha tambua kuwa sisi tutakuuwa kwa mawe wewe na mawakala walioko humo ndani. Hivyo utachagua tukulinde sisi au uchukue fedha ambazo ni uhalisia hautotumia hata shilingi moja. Alikubali tumlinde, nasi tukalibeba jukumu na ulinzi ulianzia kwenye eneo husika kuwa asiyehusika haruhusiwi kuingia ofisini ziliko kura, chakula na maji yake na mawakala tulikinunua sisi yaani hata mke wake hatukumruhusu kumletea tukihof watamuwekea sumu, then akitaka kwenda chooni tulikagua kwanza eneo na kulizunguka kwa ulinzi. Nasi pia tulitika kwa zamu kwenda kutafuta chakula.
3) FFU zilifika gari 5 katika kituo chetu ili kututisha lakini sisi tuliendelea kuwa watulivu huku tukijua nini tunakifanya.
4) hatukuruhusu sura zisizojulikana kupiga kura, kwa ajili ya kuzuia mamluki.
5) baada ya kutangazwa mshindi mgombea wetu tuliendelea kumlinda kwa siku 7 huku tukichangishana fedha ya yeye kujikimu asijedhuriwa na wapenda madaraka.
6) mbinu hii tuliungana kata nzima ili kuwa na vituo vingi ili kuongeza nguvu kwamba wakichakachua sehemu moja tunaitana na kumalizana eneo la tukio na si kupelekana polisi.
KWA UFUPI HIZO NDIZO MBINU ZILIZOTUMIKA KUNYAKUA USHINDI WA CUF KATA YA VINGUNGUTI.
HIVYO NADHANI NI JAMBO LA BUSARA WANACHADEMA KUSHIRIKIANA NA KUHAKIKISHA WAGOMBEA WETU HAWARUBUNIWI IKIWEZEKANA HATA KULALA NAO KTK MAKUNDI NA KUSHINDA NAO.
KAZI KWENU MAKAMANDA - MIMI KTK KIJIJI CHANGU NA VITONGOJI VYAKE NINAUHAKIKA TUNASHINDA KWANI TULISHAJIPANGA KITAMBO NA HAHONGWI MGOMBEA YEYOTE.
PAMOJA DAIMA
Karibu Mohamed mtoi, makene,mpk,