Mimi wa kijijini mshahara unasaidia sana wewe wa mjini kama hakusadii ubarikiwe. Halafu nyie mnaojifanya wa mjini kutuona wa vijijini hatuelewi kitu ni upungufu wa kufikiri.Hayo yanamsaidia nini mtu wa kijijini ambaye hawezi nunua hata tochi..hayo yatakusaidia labda wewe mwenye smart phone kuku keep busy na jamii forums kuchat.
Hayo yanamsaidia nini mtu wa kijijini ambaye hawezi nunua hata tochi..hayo yatakusaidia labda wewe mwenye smart phone kuku keep busy na jamii forums kuchat.
Mkulima na minofu wapi na wapi shekhe ubwabwa???Juzi zilibeba nyama zitokanazo na mifugo yao mkabeza..leo unahoji tena..ufipa kweli nyie mizimu
Dreamliner inamsaidia nini mtindiga?Hayo yanamsaidia nini mtu wa kijijini ambaye hawezi nunua hata tochi..hayo yatakusaidia labda wewe mwenye smart phone kuku keep busy na jamii forums kuchat.
Kinyambilisi!!Hoja ya VITAMBULISHO VYA MJASILIA MALI ni muhimu sana imewakera watu wote nchi nzima isipokuwa Makonda, ktk halmashaur yangu maafisa wote tumepangiwa zamu kuvigawa, kuna makundi tumeamua kuwafanyia unyambisi wananchi ZOA kila kitu utakachomkuta nacho wakiuliza mbona tunafanya ukatili tunawaambia iulizeni serikali yaani wilaya nzima tumechafua hali ya hewa hivyo HOJA YA VITAMBULISHO WASIIACHE ikiwezekana waanze kuinadi sasa hivi wakati huo sisi huku halmashauri tunasomba kila kitu tunatupia kwenye Karandinga
la niniChadema ni genge la wapiga kelele tu
Hkivi trilion moja ni dola ngapi maana naona kwenye majlumba ya hlhawa jamaa kuna hela za umma ipo sikuMwizi wa matilioni sasa hivi anajulikana na kila mtu Tanzania .
Hii ni sampuli ya watu wajinga.Hayo yanamsaidia nini mtu wa kijijini ambaye hawezi nunua hata tochi..hayo yatakusaidia labda wewe mwenye smart phone kuku keep busy na jamii forums kuchat.
Hayo yanamsaidia nini mtu wa kijijini ambaye hawezi nunua hata tochi..hayo yatakusaidia labda wewe mwenye smart phone kuku keep busy na jamii forums kuchat.
MwenyewePumbafu
Chadema imekuwa mteteze wa wananchi kwa miaka yote. Kama chama tutaendelea kupambana na wtawla hawa wa hovyo.Kwa sasa habari ya mjini ni mambo manne ambayo yanawapa credit
1. Ufisadi wa serikali ya awamu ya 5 kupitia ripoti ya CAG
2. Nyongeza ya mishahara kisheria
3. Katiba mpya
4. Utawala bora
Huku mtaani tunawaelewa na watumishi wameanza kuwapanga wapiga kura taratibu. .
Ninyi kila siku muwabane mawaziri hivyohivyo na clips za majibu yao kwaa maswali yenu muwe mnatupatia na sisi tunawafikishia wananchi.
Mungu aendelee kuwaongoza.
hahahahah ukiwa Mwanaccm lazima bichwa lako ujaze maji.Ila wizi wa trillions, kudhulumu Wakulima wa korosho, kusema uongo, kukataa CAG Assad asifanye ukaguzi, kuwazuia IMF wasichapishe ripiti kuhusiana na hali mbaya ya uchumi, udikteta, kudharau Bunge, mahakama na katiba hivi vyote VINAWASAIDIA SANA watu wa vijijini na kuwaletea maendeleo ya kweli.