CHADEMA semeni ukweli, hamna hela za kufanya mikutano!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Acheni kusingizia eti katazo la kufanya Siasa, nani kamzuia Mnyika kufanya Mkutano wa Kisiasa Kibamba? Nani kamzuia Halima Mdee kuongea na Wapiga kura wake Kawe? Nani kamzuia Msigwa kuunguruma Iringa? Majibu ya maswali hayo ni hakuna, hivyo ukweli ni kwamba kinachowazuia ni ukata na wala siyo Serikali, you are broke, man, ...
 
Acheni kusingizia eti katazo la kufanya Siasa, nani kamzuia Mnyika kufanya Mkutano wa Kisiasa Kibamba? Nani kamzuia Halima Mdee kuongea na Wapiga kura wake Kawe? Nani kamzuia Msigwa kuunguruma Iringa? Majibu ya maswali hayo ni hakuna, hivyo ukweli ni kwamba kinachowazia ni ukata na wala siyo Serikali, you are broke, man, ...

Hivi mkutano unahitaji kiasi gani milioni 300??Hivi ukiwa huna kabisa cha kuweka mitandaoni basi unakuja na Halima Mdee.

Nilitegemea uihoji Serikali yako ni kwanini wamepora vyanzo vyake vyote vya mapato??Mlitakiwa kuhoji wa nategemea walimu waliokuwa wanalipwa na Halmashauri zao wanalipwa na mawe??

Mdogo wangu kuna wakati tumia akili ulizopewa na Nyumba wako.Kuwa na itikadi tofauti siyo dhambi wala uhalifu.
 
Acheni kusingizia eti katazo la kufanya Siasa, nani kamzuia Mnyika kufanya Mkutano wa Kisiasa Kibamba? Nani kamzuia Halima Mdee kuongea na Wapiga kura wake Kawe? Nani kamzuia Msigwa kuunguruma Iringa? Majibu ya maswali hayo ni hakuna, hivyo ukweli ni kwamba kinachowazuia ni ukata na wala siyo Serikali, you are broke, man, ...
Kwani kufanya mkutano ni BEI gani?!!!!!
 
Acheni kusingizia eti katazo la kufanya Siasa, nani kamzuia Mnyika kufanya Mkutano wa Kisiasa Kibamba? Nani kamzuia Halima Mdee kuongea na Wapiga kura wake Kawe? Nani kamzuia Msigwa kuunguruma Iringa? Majibu ya maswali hayo ni hakuna, hivyo ukweli ni kwamba kinachowazuia ni ukata na wala siyo Serikali, you are broke, man, ...
Tu assume wapo broke kweli, ww unafaidika na nn kwa mfano au ndio zile mambo za adui muombee njaa
 
Mikutano si kule tu kwenye wabunge na madiwa ni wa CHADEMA, bali hata kule ambako kunahitajika kujengwa chama. Kule ambako wananchi bado baada ya miaka zaidi ya hamsini ya Uhuru hawana vyoo, hawana maji safi na salama, shule zao zina Mwalimu mmoja tu, kule wanakotembea kilomita zaidi ya kumi kwenda zahanati isiyo na dawa wala vifaa vya kutosha ambako anayewahudumia ni "medical attendant" badala ya tabibu mwenye sifa hitajiwa.
 
Abdallah Bulembo anayefanya mikutano nchi nzima kutukana Ukawa ni mbunge wa jimbo gani?

Mwambie mtukufu wenu aruhusu na wengine uone

Kila kitu kina mwisho wake mataifa ya nje wanawachagua wapinzan pamoja na kwamba wamepiga hatua kubwa kwenye maendeleo sasa sisi watanzania ambao hatuna mbele wala nyuma kwann tunaing'ang'ania hichi chama kijani ambacho kimeshindwa kuwaletea wananchi maendeleo?????????
 
Acha kuwasingizia umasikini bro..wametoa wapi za FLY TO KIA?

Wamebadili matumizi tu ila hela wanazo.
 
Acheni kusingizia eti katazo la kufanya Siasa, nani kamzuia Mnyika kufanya Mkutano wa Kisiasa Kibamba? Nani kamzuia Halima Mdee kuongea na Wapiga kura wake Kawe? Nani kamzuia Msigwa kuunguruma Iringa? Majibu ya maswali hayo ni hakuna, hivyo ukweli ni kwamba kinachowazuia ni ukata na wala siyo Serikali, you are broke, man, ...
Hata ukijificha huku kwenye siasa ila Gisenyi utarudi tu
 
Kuna watu ubongo wao ni kama maji taka... Rudi kujibu hoja za wadau, si umeanzisha hoja mwenyewe!!!!!!!!!!!
 
Hv Bulembo Ni Nani Mpaka Azunguke Nch Nzma?Au Katazo La Mkutano Lipo Kwa Chadema Tu?
 
Hv Bulembo Ni Nani Mpaka Azunguke Nch Nzma?Au Katazo La Mkutano Lipo Kwa Chadema Tu?
Umevurugwa . Bulembo wanafanya vikao vya ndani vya chama. Yupo katika kampeni ya kuelimisha mabadiliko yaliyotokea ndani ya ccm ya namna ya kubeba uongozi. Kwani nani kaikataza chadema kufanya vikao vya uhamishaji ndani ya chama
 
Hivi Bulembo ni mbunge wa Chato hadi aruhusiwe kufanya mikutano ya kisiasa huko?

Na tangu lini pesa ni kigezo cha kufanya mikutano?

OK ccm wanaendesha mikutano kwa pesa za walipa kodi
 
Back
Top Bottom