jembe la kigoma
Senior Member
- Mar 23, 2012
- 119
- 19
Wakuu kesho makamanda wa CHADEMA tawi la ST,Augustine University Mwanza watakuwa katika kata ya Rwezera mkoani Geita kusaidiana na mkamanda wenyeji wa kule kupiga kampeni za mwishomwisho za uchaguzi wa UDIWANI,watasaidiana nao kuhamasisha wazee na kinamama na vijana kujitokeza kuipigia kura CDM na pia watazilinda,kata hii CDM tutaichukua take my word.
:israel:
They wiil disqualify you for the little weaknesses you have and they will never glorify you for the great strength you have shown,
:israel:
They wiil disqualify you for the little weaknesses you have and they will never glorify you for the great strength you have shown,