Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,112
- 92,537
Huwezi kuelewa wwLengo ni nini hasa? Kujilaza mahabusu kwa ajili ya chadema?
I mean lazima kuwepo na higher goal worthy of sacrifice. Watu tupo tayari hata kufa kwa ajili ya nchi, kwa ajili ya dini na hata kwa ajili ya mke na watoto. But come on, mtu ujitese kwa ajili ya mbowe? chadema? F****!
Haya Slaa alishawahi kuvunjwa hadi mkono kwa ajili ya mbowe, alipata nini?