Unaandika uchafu humu, acha tabia hiyo chafu kama Lema alivyojichafua mwenyewe, ndiyo maana hata Dr Mbowe kagoma kwenda kumuona mtu mchafu huyo."Kuhusiana na kesi ya Mhe Godbless Lema (MB), tumeona mambo mengi sana yasiyofaa na sarakasi nyingi za kisheria zikiendelea nyuma ya pazia (Behind the Scene). Sasa tunaingia huko huko nyuma ya pazia na pole pole tu ila kwa ghafla heshima itarudi" Mungu atatupa hekima katika hili..!!
Imetolewa na:
Mhe.Amani Golugwa
Katibu-CHADEMA kanda ya kaskazini
Mwenyekiti-CHADEMA Mkoa wa Arusha.
Nimecheka Sana hii...!!Huko Nyuma Nyuma isiwe kwa Mke wa Kamanda Lema, Maana mnapomfamanisha Lema na Mandela kapata wasiwasi maana Mke wa Mandela Winnie nae aligeuzwa Mke wa Vijana wa Umkotho we swize ( Bavicha ya ANC) sasa hizo Mbwembwe zenu za kusema mnapita Nyuma ya Pazia Msimgeuze Mke wa Mandela wa Arusha kuwa Kama Winnie wakat Mandela alipokuwa Gerezani
Waende wakampe kampani chizi mwenzaoAndamaneni hadi gerezani mkuu.
Lema hana kampani kule
Wewe mwehu kabisa JF ndiyo inakupa fikira za kijinga kama Lema, eti chadema ni wengi kuliko ccm!!Fisiemu wakisikia hivi wanaanza kuwaza namna watakavyotumia polisi kudhibiti kila jitihada watu wenu Chadema wasiwe huru.
Inatia kinyaa nchi yetu sote halafu watu wachache wanajidai wao ndiyo wababe......ujinga ujinga tu.
Kwa nature ya watanzania lema wamempandisha chat sana.
Chati imepanda kwa mazezeta ya chademaKwa nature ya watanzania lema wamempandisha chat sana.
Kwa nature ya watanzania lema wamempandisha chat sana.
teh teh..inabidi lema awache mchezo wa kufungwa jela.Huko Nyuma Nyuma isiwe kwa Mke wa Kamanda Lema, Maana mnapomfamanisha Lema na Mandela kapata wasiwasi maana Mke wa Mandela Winnie nae aligeuzwa Mke wa Vijana wa Umkotho we swize ( Bavicha ya ANC) sasa hizo Mbwembwe zenu za kusema mnapita Nyuma ya Pazia Msimgeuze Mke wa Mandela wa Arusha kuwa Kama Winnie wakat Mandela alipokuwa Gerezani
Wewe psychopath nenda ka-quote uzi wa mafisiemu wenzako. Usinizoee kabisa aisee.Wewe mwehu kabisa JF ndiyo inakupa fikira za kijinga kama Lema, eti chadema ni wengi kuliko ccm!!
"Kuhusiana na kesi ya Mhe Godbless Lema (MB), tumeona mambo mengi sana yasiyofaa na sarakasi nyingi za kisheria zikiendelea nyuma ya pazia (Behind the Scene). Sasa tunaingia huko huko nyuma ya pazia na pole pole tu ila kwa ghafla heshima itarudi" Mungu atatupa hekima katika hili..!!
Imetolewa na:
Mhe.Amani Golugwa
Katibu-CHADEMA kanda ya kaskazini
Mwenyekiti-CHADEMA Mkoa wa Arusha.
Tabia za kwenda Nyumbani kwa Kamanda Lema ' kumfariji' Mkewe mziache!
Mahakamani hamuonekani Ila kwny 'kumfariji' Mkewe hamkosekani!
Hili ni toleo la ngapi tangu kesi imeanza mkuu."Kuhusiana na kesi ya Mhe Godbless Lema (MB), tumeona mambo mengi sana yasiyofaa na sarakasi nyingi za kisheria zikiendelea nyuma ya pazia (Behind the Scene). Sasa tunaingia huko huko nyuma ya pazia na pole pole tu ila kwa ghafla heshima itarudi" Mungu atatupa hekima katika hili..!!
Imetolewa na:
Mhe.Amani Golugwa
Katibu-CHADEMA kanda ya kaskazini
Mwenyekiti-CHADEMA Mkoa wa Arusha.