Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama
umeanza ku panic?Hapa kuna haja ya Elimu kutoka Tume ya uchaguzi. Hii sio Serikali ya majimbo.
Ilani ya Chadema siijui na sijawahi kuiona wala kuisikia popote maana hata kipindi cha uchaguzi walikuwa wakinadi kuwa watu wachague Ukawa aliyewahi ona ilani ya Ukawa atuwekee hapaChama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama
pole sana sasa kinakuwewesesha nini tulia tuje na Ilani yetuMbowe na Mzee wa Upako wanafanana aina ya Wafuasi walionao.
Mtendaji Mkuu wa Halmashauri ni Mkurugenzi wa Halmashauri ambae kateuliwa na Rais na kakabidhiwa Ilani ya CCM na Mafungu yote yanapita kwake Kazi ya Baraza la Madiwani ni kuidhinisha Bajeti si Malipo
Ilani ya Chadema siijui na sijawahi kuiona wala kuisikia popote maana hata kipindi cha uchaguzi walikuwa wakinadi kuwa watu wachague Ukawa aliyewahi ona ilani ya Ukawa atuwekee hapa.Ukawa waliendesha kampeni za Ukawa bila kuwa na ilani yaani matapeli wa kutupwaChama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama
pole sana sasa kinakuwewesesha nini tulia tuje na Ilani yetu
Ni mambo yasiyowezekana. Fedha zinatolewa kwa kuzingatia Ilani ya Chama Tawala. Labda watoe mifukoni mwao! Naona ni kwa kiwango gani hiki Chama kisivyoelewa uendeshaji wa NchiChama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama
Meya wa Jiji unamlinganisha na mcheza show wa Dar.mimi nasubiri huo utekelezaji hasa DSM ambako meya wa hili jiji amepotelea sijui wapi mungu wangu....na sijui watatimiza vipi hiyo ilani chini ya mhe.makonda..
Ipo kwenye tovuti ya CHADEMA, nenda kaisome.Ilani ya Chadema siijui na sijawahi kuiona wala kuisikia popote maana hata kipindi cha uchaguzi walikuwa wakinadi kuwa watu wachague Ukawa aliyewahi ona ilani ya Ukawa atuwekee hapa.Ukawa waliendesha kampeni za Ukawa bila kuwa na ilani yaani matapeli wa kutupwa
Na wasisahau kutumia vyanzo vyao vya mapato ikiwemo mkurugenzi wao, na mumtafutie mshahara wake, msisahau pia kutafuta majengo yenu ya serikali za majimboChama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wamesema watatumia ilani yao kuongoza halmashauri zilizo chini yake kwani kutumia ya CCM ni kufifisha uhai wa chama