unajidanganya wewe,unacheza na nguvu ya umma,sasa kama kweli wanataka kuamini haya maneno wapeleke polisi hiyo siku,wanajua hasira ya umma juu yaonyinyi wacheni kutisha wakati wa kutishana umepitwa na wakati,kama ni wa kufanya kweli msilete ngalambe mbele ya vyombo vya dola ,au nyinyi mnaoleta za kuleta ndio wale mnaotumika katikaa kujipenyesha ndani ya chadema na kujifanya ndio wababe ,kumbe ndio nyie mnaowapigia simu polisi na kuwaelekeza.
Nyinyi wacheni kutisha wakati wa kutishana umepitwa na wakati,kama ni wa kufanya kweli msilete ngalambe mbele ya vyombo vya dola ,au nyinyi mnaoleta za kuleta ndio wale mnaotumika katikaa kujipenyesha ndani ya Chadema na kujifanya ndio wababe ,kumbe ndio nyie mnaowapigia simu polisi na kuwaelekeza.
Nami natoa taarifa za kiintelejensia kuwa mwema watangazie polisi wako hata mmoja asitokee kwenye mazishi ya wahanga wa maandano ya amani,kwani hasira za wananchi zitakuwa juu ya askari wako,tunataka zoezi zima liende kwa amani chini ya watu wote wenye mapenzi mema,
siku nzote polisi ndio mmekuwa chanzo cha vurugu,sasa hatutaki maafa mengine wala umwagaji damu wa aina yoyote,waache hao askari wako wakae huko huko vituoni kwao.
Puuzia hizi taarifa za kiintelejensia na uone kitakachotokea
Hayo mazishi yatafanyika wapi?
Polisi watakuwepo kulinda amani na atae fanya fujo atakula mkong'oto, wa Kenya hawatoshi, sasa leteni na wa Ganda.
Hayo mazishi yatafanyika wapi?
taarifa za kiinteligensia zinaonesha kuwa makamba naye atakuja.........