CHADEMA sasa itakuwa na kadi za aina 5 za uanachama zitakazolipiwa viwango tofauti kwa mwaka

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,600
217,991
1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka

2. Kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka

3. Kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka

4. Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka

5. Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka

Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo CHADEMA ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.

MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .

Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu

Chadema_Digital_on_Instagram:_“Kazi_imeanza,_Tunasonga_Kidigitali%0AIli_kupakua_App_ya_Chadema...jpg
 
1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka

2.kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka

3.kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka

4.Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka

5.Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka

Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo Chadema ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.

MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .

Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu

View attachment 1800416
Hii Saccos ni shida tu!
 
1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka

2.kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka

3.kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka

4.Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka

5.Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka

Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo Chadema ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.

MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .

Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu

View attachment 1800416
Haiwezekani wa 2500 akawa sawa na 200000 haitakaa itokee! Msajili anapaswa kuliingilia hili.

Ni ubaguzi wa kipato
 
Mbowe mjanja sana..."makamanda hakuna mshahara miezi sita"..."hatuchukui ruzuku"...sasa kaamua kiwapiga makamanda kwa michango
1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka

2.kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka

3.kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka

4.Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka

5.Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka

Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo Chadema ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.

MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .

Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu

View attachment 1800416
 
Mbowe mjanja sana..."makamanda hakuna mshahara miezi sita"..."hatuchukui ruzuku"...sasa kaamua kiwapiga makamanda kwa michango
Kina Rostam, Mo, manji na wengine huwa nao wanatoaga Tsh ngapi kwa CCM? Huwa nao ni hii hii 1,200/- tunayolipa sisi hivi, hasa hasa kipindi cha uchaguzi?

Sema tu kingine, ila ukisema kuhusu michango ndugu yangu ccm wamezidi kwa kuwakamua wanachama matajiri
 
Kamanda,kusema kwamba huyu ni mwanachama bora kwa utofauti wa kadi si sawa.Utoaji wa hiari sawa
Kina Rostam, Mo, manji na wengine huwa nao wanatoaga Tsh ngapi kwa CCM? Huwa nao ni hii hii 1,200/- tunayolipa sisi hivi, hasa hasa kipindi cha uchaguzi?

Sema tu kingine, ila ukisema kuhusu michango ndugu yangu ccm wamezidi kwa kuwakamua wanachama matajiri
 
Back
Top Bottom