Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
- Thread starter
- #21
Tuliza makalio we kada wa lumumbaHahahaaaa....... hahahaaaa....... alidisco!
Tuliza makalio we kada wa lumumbaHahahaaaa....... hahahaaaa....... alidisco!
Ndugu yako huyo wa damu zuzu mwenzio huyoTuliza makalio we kada wa lumumba
Utaolewa muda wako ukifikaKumwagwa maji
Unataka kumwagwa maji?Ndugu yako huyo wa damu zuzu mwenzio huyo
Wananchi ya Jamhuri ya JF mnashangaza sana, yaani kipigo cha Magufuli unataka ulipize kwa watu wengine? Maumivu mning'inio unahitajika utulie , muda tuu ndio utawaponya.Wewe hapo hapa utapaona pachungu nakwambia
Huwez kuitukana brand kubwa chadema then ubaki safe.
Kioigo gan tena muache mwendakuzimi apumzike jamanWananchi ya Jamhuri ya JF mnashangaza sana, yaani kipigo cha Magufuli unataka ulipize kwa watu wengine? Maumivu mning'inio unahitajika utulie , muda tuu ndio utawaponya.
Hahahaaaa........yaani bwashee ulidisco hata Kivukoni?!Tuliza makalio we kada wa lumumba
Tuliza makalio, jikite kwenye mada.Hahahaaaa........yaani bwashee ulidisco hata Kivukoni?!
Nenda kajifunze kuandika ndio uje utafute wa kukutoa maji.Kioigo gan tena muache mwendakuzimi apumzike jaman
Magufuli hayupo tambua hilo kwanzaNenda kajifunze kuandika ndio uje utafute wa kukutoa maji.
Anahusika vipi? We jiandae kutolewa majiMagufuli hayupo tambua hilo kwanza