CHADEMA Safari ni Hatua

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Waswahili kuna msemo maarufu usemao SAFARI ni HATUA; hivyo nachukua fursa kukikumbusha CHADEMA kuwa ni muhimu sana kwao kujifikiri mara mbili kabla ya kufikiria nafasi ya URAIS badala yake wafanye yafuatayo:
1. Sehemu kubwa ya ruzuku itumike kufungua ofisi maeneo ya vijijini
2. Chama kiwe na taswira ya kinchi
3. Maandamano isiwe mbinu mojawapo ya kueneza chama
4. Kuwa na mtazamo wa kupata viti vingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014
5. Uchaguzi mkuu 2015 kuweka nguvu nyingi katika udiwani na ubunge
6. Kutosimamisha mgombea Urais 2015

Nawakilisha kwenu!
 
Waswahili kuna msemo maarufu usemao SAFARI ni HATUA; hivyo nachukua fursa kukikumbusha CHADEMA kuwa ni muhimu sana kwao kujifikiri mara mbili kabla ya kufikiria nafasi ya URAIS badala yake wafanye yafuatayo:
1. Sehemu kubwa ya ruzuku itumike kufungua ofisi maeneo ya vijijini
2. Chama kiwe na taswira ya kinchi
3. Maandamano isiwe mbinu mojawapo ya kueneza chama
4. Kuwa na mtazamo wa kupata viti vingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014
5. Uchaguzi mkuu 2015 kuweka nguvu nyingi katika udiwani na ubunge
6. Kutosimamisha mgombea Urais 2015

Nawakilisha kwenu!

Chademaphobia!

CHADEMA ni watu wote, walio wanachama na wasio wanachama

CHADEMA iko kila sehemu ya nchi hii

Hata CCM huwaoni sasa hivi wanavyoandamana hadi wanasahau viatu!

Lengo la chama chochote cha siasa ni kushika dola-kushinda urais na kuwa na wawakilishi wengi iwezekanavyo

CHADEMA isisimamishe mgombea urais 2015-wewe Naona una ugonjwa wa Chdemaphobia, we ni fisadi nini au baba yako ndio fisadi!
 
Kama mlivyoharibu nchi sasa mmeingia kuharibu JF. Unajua kuna wakati wa kufanya utani lakini mnayoyafanya sasa ni upumbavu. Laana ya wananchi ipo nanyi ndo maana mnaendelea kufanya upuuzi huu.
 
Waswahili kuna msemo maarufu usemao SAFARI ni HATUA; hivyo nachukua fursa kukikumbusha CHADEMA kuwa ni muhimu sana kwao kujifikiri mara mbili kabla ya kufikiria nafasi ya URAIS badala yake wafanye yafuatayo:
1. Sehemu kubwa ya ruzuku itumike kufungua ofisi maeneo ya vijijini
2. Chama kiwe na taswira ya kinchi
3. Maandamano isiwe mbinu mojawapo ya kueneza chama
4. Kuwa na mtazamo wa kupata viti vingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014
5. Uchaguzi mkuu 2015 kuweka nguvu nyingi katika udiwani na ubunge
6. Kutosimamisha mgombea Urais 2015

Nawakilisha kwenu!

Yanga wameshawai kumpa simba ushauri??
Iyo no.6 imeshihirisha uoga uliowajaa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

6. Kutosimamisha mgombea Urais 2015
Nawakilisha kwenu!

Mnataka mambo ya uchaguzi wa kwenye chama chenu ambako mwenyekiti alikoseshwa mpinzani mlete kwenye uchaguzi mkuu wa raisi.. Mnaona haki wenyewe mwenyekiti wenu kupita bila mpinzani na kisha kumpongeza na mabango..!
Heri unyimwe macho lakini upewe akili ya kupambanua mambo...
 
Arusha ndiyo ilivyo bila kutumia fedha hakuna,hata lema wakati kesi yake inaendelea wakati ule alikuwa anatoa buku ama mia tano na hivi sasa ile ashangilowe anatoa buku na elfu tano ili abebwe,Arusha ni kibiashara zaidi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom